Every human must watch this photos

ANOTHER PART OF THE WORLD DOESN'T HAVE FOOD TO RUN THEIR LIFE



DON'T waste FOOD any more,

DONATE for needy

HEAL THE WORLD


There´s a place in your heart

And I know that it is love

And this place could< Be much brighter than tomorrow

And if you really try

You´ll find there´s no need to cry

In this place you´ll feel

There´s no hurt or sorrow

There are ways

To get there

If you care enough

For the living

Make a little space

Make a better place

Heal the world

Make it a better place

For you and for me

And the entire human race

There are people dying

If you care enough

For the living

Make a better place

For you and for me

Let this be remembered.. . each time we throw away Foods!


Mc donalds who throw away foods to keep freshness of their foods

these people don't have anything!

people who are live in rich countries,, don't know this,, don't want to know


this,, never understand this!


but U,, please U,, understand this ..................................


PLS FORWARD THIS MAIL TO ATLEAST ONE OF YOUR FREIND........
 
Sina la kusema,ila nilifurahi siku moja huku nilipo tulichanga pesa kanisani kwa ajili ya kuwasaidia wenye upungufu wa chakula Afrika.Kwa kweli siku hiyo nilipata amani sana.Mungu zidi kuwasaidia watu wako.
 
Those should be emirs...but what strikes me most is the number and ways hungry people die! Yaani we acha tu.
 
Inasikitisha lakini ndivyo ilivyo.

Mungu atulinde Tanzania, maana kwetu hapa watu kwa kupenda ufahari si mchezo.
 
Mbona sijaelewa MziziMkavu? Ni kwamba hapo juu kuna sherehe inaendelea au?

don%2527t-waste-food+%25289%2529.jpg
don%2527t-waste-food+%252821%2529.jpg


Ni kwamba huyu Sultani alifanya sherehe yake kubwa na kuwaita watu wakala na kusaza wakamwaga kikaoza
Huku wengine wanakufa kwa kukosa Chakula, hivyo kila mtu

DON'T waste FOOD any more,


DONATE for needy

HEAL THE WORLD


Hatuna uwezo wa kuchangia lakini tuwatumie msg hata wenzetu kwani huku Ombaomba ni wengi tuwape hata tulichonacho kuliko kukitupa majalalani.
 
Nimeyaona mahindi ya msaada wanayogawiwa watanzania wenye njaa ni hatari hata wenye viwanda vya kutengeza chakula cha mifugo kama kuku wanayakataa lakini kuna binadamu wanapelekewa kama msaada kwa kuuziwa kwa bei nafuu. Nilini serikari za Africa au wawekezaji wa kiafrica watawekeza kwenye kilimo kwa mfano kilimanjaro kili mwaka wanafikwa na njaa kwenye baadhi ya maeneoa wakati wana ziwa kubwa tu Nyumba ya mungu ambalo lingetumiwa vizuri kwa kilimo pasinge kuwapo kabisa na tatizo la njaa mkoani kilimanjaro.
 
Chakula chenyewe kinalimwa Ethiopia
chuki,tamaa,ubinafsi,ufisadi namkusanyiko mkubwa wa tabia mbaya zote za binaadamu vinauharibu ubinaadamu.umetoa mfano hai kabisa wakati wengine wanasaza na kutupa wengine ngozi zinagandana na miili kwa kukosa walau mkate mmoja tu.ninaamini kama kila binaadamu angempenda mwenzake,kumjali na kumhurumia dunia ingekuwa sehemu bora kabisa.tofauti na sasa ambapo taifa kubwa linapora taifa dogo,tajiri anadhulumu maskini,viongozi wanawadhulumu wananchi na mambo mengi mabaya na machafu yanayopelekea kujitokeza kwa mambo kama haya.mungu atusaidie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom