LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,507
Hehehhe kupiga mtoto sio dhambi chief,unamfundisha...Acha usimpihe uone product utakayotoa,asiejua tofauti ya jema na bayaHivi mtu unawezaje kumpiga mwanao namna hiyo?
Mi kumgombeza tu siwezi seuze kumpiga?
Ninayempenda kamwe siwezi kumpiga - awe mtoto au mwenza.
Sipati kabisa picha eti nampiga Kisura! Nitaanzia wapi kwanza!!
damn it!!!