Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,124
- Thread starter
- #1,001
FT' Hungary 1-1 France
Ufaransa wakikutana na timu inayopaki basi wanapata wakati mgumuUfaransa hii gme na Hungary wamecheza hovyo
Germany leo atafanya kituTusubiri game ya Portugal vs Germany .
Me Nampa Portugal ...
Ingawa wanakikosi kipana, si ajabu wasifike mbali kwenye michuano hii. Trust me.Ufaransa wakikutana na timu inayopaki basi wanapata wakati mgumu
Naona imekuwaGiroud japo hana makali ila anabahati zake akiwa uwanjani hope ataingia iwe 1-2
Yaani mimi team inayoshobokewa na wachambuzi wa Bongo naionaga ya kichoko France anaweza asipite makundiUfaransa wakikutana na timu inayopaki basi wanapata wakati mgumu
AlumiaDembele kaingia kutoka benchi kacheza dk 30 kisha katolewa, sijui alipata majeraha
KweliIngawa wanakikosi kipana, si ajabu wasifike mbali kwenye michuano hii. Trust me.
Wajerumani tuna jambo letu mda mchache ujaoNaweka wazi mm ni team CR7 -PORTUGAL
Anayefuatia ni Uholanzi
Tupoooo.Team porto
Team CR7
Kwa ushambuliaji wa Adama traore au?