Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Poaa mkuu.No ...... mimi hapa ninaona live .... nilisema vile kwa faida ya wengine ambao labda hawaoni live
Poaa mkuu.No ...... mimi hapa ninaona live .... nilisema vile kwa faida ya wengine ambao labda hawaoni live
Naona refa kachemka kwenye hio kadi;jamaa kateleza mwenyewe.
mambo ni ATN bwana, uwe na kingamuzi au usiwe nacho nikupeta tu. Polondi inaongoza kwa goli moja.
Mgiriki kashalimwa Nyekundu, yaani NJANO MBILI.Sokratis Papastokulos? anatoka nje.
Ni Papastathopoulos kaka...
Dogo wetu naona alitaka kuchanganya habari.