Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Ugiriki mbona hawajitumi? Watapigwa nyingi. Dk 20 poland1 greece 0.
 
Du naona huyu Robert Lewandowski anatafuta nafasi kwa nguvu sana ndani ya MUFC.

Amefunga koli kwa ustadi mkubwa sana maana mpira unapigwa chini kwa kichwa.

Inanikumbusha Goli la Omam Biyik kwenye World Cup kati ya Cameroon vs Argentina ya Maradona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom