Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Hawa France inabidi wafanye mabadiliko haraka hasa kwenye kiungo....La sivyo wataongezwa magoli
 
Kipindi cha pili ndo kimeanza ngoja 2one nini kitatokea.
 
Hawa France inabidi wafanye mabadiliko haraka hasa kwenye kiungo....La sivyo wataongezwa magoli

Hata kule mbele Benzema anacheza kama hataki. Crosses zoote za Frank zinaishia kwa Ramos ...
 
Yaani hawa Wafaransa ni wazembe kweli.......Wanapoteza mipira kijinga kabisa
 
France minguvu mingi na akili kidogo sana.... Pass zao are very inaccurate....
 
Sasa Blanc si amtoe tu amuingize Ben Arfa ama Nasri?


Nasri Coach kaamua kumuadhibu baada ya kutaka kupigana Camp.... At the same time bado ana beef na EVRA.... He thinks this is the best way of punishing him.........
 
Huyu kocha wa Spain Vicente Del Bosque sijui kwa nini toka mashindano yameanza hajawahi kumchezesha Fernando Llorente wakati ni bonge la striker yaani yule ana undugu na nyavu.
 
Nasri Coach kaamua kumuadhibu baada ya kutaka kupigana Camp.... At the same time bado ana beef na EVRA.... He thinks this is the best way of punishing him.........
Na Beef lake na Nasri na Evra ndilo linawagharimu na kuwarudisha Paris....

Safi sana Koscielny
 
That was a nice Header.... Nice trial from France.... Good play from Benzema
 
Angalau kipindi hiki cha pili france wanaonyesha uhai japo umaliziaji mbovu.
 
Huyu kocha wa Spain Vicente Del Bosque sijui kwa nini toka mashindano yameanza hajawahi kumchezesha Fernando Llorente wakati ni bonge la striker yaani yule ana undugu na nyavu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom