Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

article-2160381-13A4F13F000005DC-340_634x434.jpg

Huyu Karagounis ni mgiriki hasa maana anaongea mpaka anapitiliza.
 
Umeona eeh..hata mie nimeduwaa kweli, eishh!!

Let me save my energy for tomorrow's match..si unajua kesho naweza kuwa super happy au kilio, ha ha..!

Tuombe Mungu ili uwe super happy mie nitawashangalia kwa nguvu zote...si unajua kule kwenu kuna yule mcheza wetu huwa anatupagawisha sana wapenzi na washabiki wa GUNNERS.
 
Tuombe Mungu ili uwe super happy mie nitawashangalia kwa nguvu zote...si unajua kule kwenu kuna yule mcheza wetu huwa anatupagawisha sana wapenzi na washabiki wa GUNNERS.

Na iwe aisee maana itakuwa huzuni si ikidogo. Naona bendera ya GUNNERS inapeperushwa vizuri kwenye Euro hii, he he..nampata jamaa, labda kesho atashangaza🙂))
 
Walivyokuwa wameshona uwanjani mashabiki wa Poland..wasiishie kufanya vurugu tu huko nje baadae!!


Kudoz to Czesh na Greece!!
:whoo::whoo:

Nimefurahi angalau hawa makomunisti wa kirusi wametolewa. Pia nimefuahi kwani ni relief kwa Wagiriki kutokana na matatizo ya kiuchumi yanayowakabili. Halafu kesho wana uchaguzi mkuu.
 
Bora Poland wametolewa jamaa wabaguzi sana..
 
DONGE NONO KWA MSHINDI WA EURO2012
Mpaka sasa timu mbili zimeshaahidi donge nono zaidi ambalo litawapatia kila mmoja wa wachezaji wao ikiwa watashinda kombe.
France, imeahidi €320,000 (sawa na madafu yetu milioni 640 kila mmoja).
Spain, imeahidi € 300,000 (sawa na milioni 600 kila mchezaji).
 
Presha inapanda presha inashuka..Nederland ipite leo jamani japo si rahisi.

Nederland vs Portugal
Germany vs Denmark


BJ pole sana.... NED hawapiti leo..... No matter how hard they'll TRY but the wont.... I predict GERMANY & PORTUGAL... n'way we have 90Mins to come to conclusion...

ALL THE BEST
 
Holland leo wana kibarua kikubwa kupita

sana kwakweli..yaani washinde atleast goli mbili bila na same time Germany iifunge Denmark, pheew!!

itakuwa huzuni wakitoka maana mwanzo mwisho Euro hii ni mfululizo wa kufungwa mechi zote 3.
 
sana kwakweli..yaani washinde atleast goli mbili bila na same time Germany iifunge Denmark, pheew!!

itakuwa huzuni wakitoka maana mwanzo mwisho Euro hii ni mfululizo wa kufungwa mechi zote 3.

Itakuwa ni aibu kwa timu kama ya Holland kutolewa round ya kwanza ..... ila tukumbuke group lao {Germany, Portugal Netherland, Denmark} ni gumu.
 
BJ pole sana.... NED hawapiti leo..... No matter how hard they'll TRY but the wont.... I predict GERMANY & PORTUGAL... n'way we have 90Mins to come to conclusion...ALL THE BEST

Asante Questt, kweli ni muziki mnene ila tuone dk 90. Naona Germany kama vile wameshapita.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom