Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Hizi nafasi zinapotea nomaa
Wangu, jinsi Holland wanavyo defend wamenifanya nipate njaa ghafla. Sijui kama tutachomoka salama hapa.
Ronaldoooooooooooo goal...shyt
Hata mie matarajio yameisha kabisa..kama vile yoyote atashinda mechi hii..tuendelee kujipa mahope hommie!!
Na Bado...... Kule DEN kasawazisha.... SO????? POLE sana....
GErmany.... Ila kwa hapa nataka URENO ishinde..... Kuna Mshkaji jirani yangu ni M'NED anasumbua sana na ENGLISH yake ya magumamshi...Yaani nimenywea kama nini..naona tunatolewa leo. wewe unashabikia timu gani? au neutral?
Netherlands safu ya ulinzi inayumba sana, wanaweza kupigwa la pili muda wowote.