Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,622
- 31,136
C mnasema RUSSIA madiktetaEU wawe matahira kuwawekea vikwazo hivi russia? Russia kuyumba ameshaanza kuyumba, kwanza una habari kuwa toka vita vianze mtu yoyote anayepinga maamuzi ya serikali russia juu ya uvamizi huu anawekwa ndani?
Maneno yao nisheria hawatakiwi kupingwa ila OP inaenda vyema sana kuna uzi mmoja niliuliza maswali yangu kwako naona majibu yamekua haba