MOSCOW: Thamani ya Sarafu ya Urusi yaanguka kuliko ilivyotarajiwa dhidi ya Dola ya Marekani

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Sep 25, 2018
1,114
3,768
Sarafu ya Urus ya Ruble imeporomoka kwa asilimia 90% dhidi ya Dola ya Marekani huku nakisi ya bajeti ya nchi hiyo ikifikia zaidi ya asilimia 30 ndani ya kipindi cha miezi 3. Hii inatokana na kudolola kwa mauzo ya nje ya nchi hiyo kutokana na vikwazo vya nchi za Magharibi.

Kabla ya Urusi kuwekewa vikwazo na nchi za Magharibi, thamani ya Dola moja ya Marekani ilikuwa sawa na Ruble 60 za Urusi, lakini mpaka sasa masoko ya Hisa yanaonesha Thamani ya Dola moja ya Marekani imefikia zaidi ya Ruble 100 za Urusi.

Haya yanajiri ikiwa ni baada ya Wizara ya fedha ya Urusi kupanga kutumia kiasi cha Dola za kimarekani Bilioni 100 ($ 100B) kwenye Ulinzi ambayo ni sawa na asilimia 30% ya matumizi yote ya serikali. Sekta za Afya, Elimu na Miundombinu ndizo zitakazo athirika zaidi kwani fedha nyingi zitachotwa kutoka wizara hizo kuelekezwa kwenye wizara ya Ulinzi.

Source : Aljazeera.

Screenshot_20230812-090633.jpg
 
Rubble haijaanguka kwa natural course, kinachofanyika ni Mmarekani kuipunguza dola katika mzunguko ili kuiimarisha.

Baada ya nchi nyingi kuanza kusign mikataba ya bilateral trade kati yao kutumia national currencies, dola ikaanza kuanguka maana demand yake ikawa inaporomoka taratibu.

Kilichofanyika ili kuinusuru ni kupandisha interest rates kwao marekani ili kupunguza kiasi cha dola kilichopo kwenye mzunguko. So the current supply ya dola iko chini as compared to its demand sokoni.

Implication ya hii ndo tunaiona hata huku kwetu, dola haipatikani hata kwenye mabank makubwa. Jana Kenya wametanga currency yao Iko at the lowest against dollar over the past 50 years. Usd 1= 150Ksh (3000).

Hii move ya Mmarekani aifanye kiumakini sana, bila ivyo itachangia dola ipotee kabisa kwenye ramani. Kadri wanavyoifanya dola iwe chache kwenye mzunguko ndivyo nchi nyingi zaidi zinajitoa kwenye matumizi ya dola katika biashara zake. Maana hawana iyo dola.

Tuombe tu washauri wa mama walione hili mapema, huu ndo muda wa kuachana na USD. We trade zaidi na China, Saudia na India. Why are we using a third part currency kwenye hizi transactions?
 

Attachments

  • Screenshot_2023-08-15-07-14-02-864_com.instagram.android.jpg
    Screenshot_2023-08-15-07-14-02-864_com.instagram.android.jpg
    171.9 KB · Views: 3
Rubble haijaanguka kwa natural course, kinachofanyika ni Mmarekani kuipunguza dola katika mzunguko ili kuiimarisha.

Baada ya nchi nyingi kuanza kusign mikataba ya bilateral trade kati yao kutumia national currencies, dola ikaanza kuanguka maana demand yake ikawa inaporomoka taratibu.

Kilichofanyika ili kuinusuru ni kupandisha interest rates kwao marekani ili kupunguza kiasi cha dola kilichopo kwenye mzunguko. So the current supply ya dola iko chini as compared to its demand sokoni.

Implication ya hii ndo tunaiona hata huku kwetu, dola haipatikani hata kwenye mabank makubwa. Jana Kenya wametanga currency yao Iko at the lowest against dollar over the past 50 years. Usd 1= 150Ksh (3000).

Hii move ya Mmarekani aifanye kiumakini sana, bila ivyo itachangia dola ipotee kabisa kwenye ramani. Kadri wanavyoifanya dola iwe chache kwenye mzunguko ndivyo nchi nyingi zaidi zinajitoa kwenye matumizi ya dola katika biashara zake. Maana hawana iyo dola.

Tuombe tu washauri wa mama walione hili mapema, huu ndo muda wa kuachana na USD. We trade zaidi na China, Saudia na India. Why are we using a third part currency kwenye hizi transactions?
Unadhani wenyewe hawajawaza huko? Walipoanza watu kuachana na dolla wao ndiyo hawakuwaza what will US next move be. Hii move ya sasa imewakamata by surprise.
Umewahi kucheza draft or chess?
 
Rubble haijaanguka kwa natural course, kinachofanyika ni Mmarekani kuipunguza dola katika mzunguko ili kuiimarisha.

Baada ya nchi nyingi kuanza kusign mikataba ya bilateral trade kati yao kutumia national currencies, dola ikaanza kuanguka maana demand yake ikawa inaporomoka taratibu.

Kilichofanyika ili kuinusuru ni kupandisha interest rates kwao marekani ili kupunguza kiasi cha dola kilichopo kwenye mzunguko. So the current supply ya dola iko chini as compared to its demand sokoni.

Implication ya hii ndo tunaiona hata huku kwetu, dola haipatikani hata kwenye mabank makubwa. Jana Kenya wametanga currency yao Iko at the lowest against dollar over the past 50 years. Usd 1= 150Ksh (3000).

Hii move ya Mmarekani aifanye kiumakini sana, bila ivyo itachangia dola ipotee kabisa kwenye ramani. Kadri wanavyoifanya dola iwe chache kwenye mzunguko ndivyo nchi nyingi zaidi zinajitoa kwenye matumizi ya dola katika biashara zake. Maana hawana iyo dola.

Tuombe tu washauri wa mama walione hili mapema, huu ndo muda wa kuachana na USD. We trade zaidi na China, Saudia na India. Why are we using a third part currency kwenye hizi transactions?
Tunatrade zaidi na china ila mikopo tunakopa billions and billions in dollar Tena world bank under USA.

IDADI ya mikopo tunayokopa unaweza kukuta ni zaidi ya biashara kati yetu na china.

Lakini umeshafuatilia ukajua mikopo Ambayo serikali zetu tumekopa in USD tunalipa Dola ngapi Kwa mwezi?

Utaikimbia Dola ila una rundo la malipo ya mikopo yako Kila mwezi Kwa miaka mingi ijayo. Na unapewa ulipe hiyo mikopo in USD. Utafanya kazi na china ila hata pesa utakayopata itabidi uichange kwenye Dola Ili ufanye malipo ya mikopo yako.


Mikopo ya sgr Iko In USD unadhani tutamaliza kuilipa lini Tena by USD
 
Tunatrade zaidi na china ila mikopo tunakopa billions and billions in dollar Tena world bank under USA.

IDADI ya mikopo tunayokopa unaweza kukuta ni zaidi ya biashara kati yetu na china.

Lakini umeshafuatilia ukajua mikopo Ambayo serikali zetu tumekopa in USD tunalipa Dola ngapi Kwa mwezi?

Utaikimbia Dola ila una rundo la malipo ya mikopo yako Kila mwezi Kwa miaka mingi ijayo. Na unapewa ulipe hiyo mikopo in USD. Utafanya kazi na china ila hata pesa utakayopata itabidi uichange kwenye Dola Ili ufanye malipo ya mikopo yako.


Mikopo ya sgr Iko In USD unadhani tutamaliza kuilipa lini Tena by USD
Duh bas Marekani ni mjanja Mamaee,kifupi huezi kumkimbia.
 
Tunatrade zaidi na china ila mikopo tunakopa billions and billions in dollar Tena world bank under USA.

IDADI ya mikopo tunayokopa unaweza kukuta ni zaidi ya biashara kati yetu na china.

Lakini umeshafuatilia ukajua mikopo Ambayo serikali zetu tumekopa in USD tunalipa Dola ngapi Kwa mwezi?

Utaikimbia Dola ila una rundo la malipo ya mikopo yako Kila mwezi Kwa miaka mingi ijayo. Na unapewa ulipe hiyo mikopo in USD. Utafanya kazi na china ila hata pesa utakayopata itabidi uichange kwenye Dola Ili ufanye malipo ya mikopo yako.


Mikopo ya sgr Iko In USD unadhani tutamaliza kuilipa lini Tena by USD
Kwamba suluhisho,ni WA Africa kuachana na hii mikopo baada ya kumaliza hayo madeni. Vinginevyo hatuwezi kuikimbia dollar 💵
 
Duh bas Marekani ni mjanja Mamaee,kifupi huezi kumkimbia.
Yani ukitulia upige calculations utajua mmarekani Kuna mtego mkali kauweka. Ndio maana hii mikopo kwenye nchi muda mwingine ni mitego.

Kwafano Japan wana pesa Yao inaitwa Japanese yen ila huwezi Kununua gari Japan Kwa pesa Yao lazima ufanye malipo Kwa USD . Kwasababu huyo Japan ana deni kubwa in USD . Japan ana deni la USD trilion 9. Sasa wewe umpe shilingi yako ataipeleka wapi.



Tanzania katika shilingi 100 inayokusanywa na serikali tsh 82 ni kulipa madeni na kulipa mishahara wafanyakazi wa serikali.


Lakini pia deni la serikali lote linalipwa Kwa Dola.



Nimekuwekea taarifa hapa soma hiyo mikopo na naomba ufuatilie tutamaliza lini kuilipa


View attachment 2715185
20230812_110137.jpg
View attachment 2715184View attachment 2715183
 
Tunatrade zaidi na china ila mikopo tunakopa billions and billions in dollar Tena world bank under USA.

IDADI ya mikopo tunayokopa unaweza kukuta ni zaidi ya biashara kati yetu na china.

Lakini umeshafuatilia ukajua mikopo Ambayo serikali zetu tumekopa in USD tunalipa Dola ngapi Kwa mwezi?

Utaikimbia Dola ila una rundo la malipo ya mikopo yako Kila mwezi Kwa miaka mingi ijayo. Na unapewa ulipe hiyo mikopo in USD. Utafanya kazi na china ila hata pesa utakayopata itabidi uichange kwenye Dola Ili ufanye malipo ya mikopo yako.


Mikopo ya sgr Iko In USD unadhani tutamaliza kuilipa lini Tena by USD
Na hapo ndipo kosa lilipifanyika, japo bado kuna room ya kurekebisha. Tumekopa USD...na tumempa mkandarasi wa Turkiye na China wajenge reli.

Mkopo sahihi hapa ulipaswa tukakope Yuan china, maana wakandarasi wao ndio wajenzi wa reli. Na turkey respectively.

Tudaiwe na taifa tunalofanya nalo biashara. Sio tunakopa dola kwa dalali ambae hausiki na our trade.

Saivi Saudia anakubali tununue mafuta kwa currency yake. Kama hatuna currency yake twende tukakope kwake, maana tayari tunabiashara nae ya muda mrefu tu.
 
Na hapo ndipo kosa lilipifanyika, japo bado kuna room ya kurekebisha. Tumekopa USD...na tumempa mkandarasi wa Turkiye na China wajenge reli.

Mkopo sahihi hapa ulipaswa tukakope Yuan china, maana wakandarasi wao ndio wajenzi wa reli. Na turkey respectively.

Tudaiwe na taifa tunalofanya nalo biashara. Sio tunakopa dola kwa dalali ambae hausiki na our trade.

Saivi Saudia anakubali tununue mafuta kwa currency yake. Kama hatuna currency yake twende tukakope kwake, maana tayari tunabiashara nae ya muda mrefu tu.
Issue ni kwamba huyo china au turkey mwenyewe ana mikopo in USD. Fuatilia deni la turkey uone. Maana yake hata Hela yake inabidi aibadiri Ili aweze kudeal na mkopo wake.

Unakuta yeye mwenyewe aweze kudeal na mikopo yake inabidi international business zake afanye in USD

Screenshot_20230812-110938.jpg
 
Issue ni kwamba huyo china au turkey mwenyewe ana mikopo in USD. Fuatilia deni la turkey uone. Maana yake hata Hela yake inabidi aibadiri Ili aweze kudeal na mkopo wake.

Unakuta yeye mwenyewe aweze kudeal na mikopo yake inabidi international business zake afanye in USD

View attachment 2715192
Marekani atabaki kuwa kiranja wa Dunia tupende ama tusipende.
 
Rubble haijaanguka kwa natural course, kinachofanyika ni Mmarekani kuipunguza dola katika mzunguko ili kuiimarisha.

Baada ya nchi nyingi kuanza kusign mikataba ya bilateral trade kati yao kutumia national currencies, dola ikaanza kuanguka maana demand yake ikawa inaporomoka taratibu.

Kilichofanyika ili kuinusuru ni kupandisha interest rates kwao marekani ili kupunguza kiasi cha dola kilichopo kwenye mzunguko. So the current supply ya dola iko chini as compared to its demand sokoni.

Implication ya hii ndo tunaiona hata huku kwetu, dola haipatikani hata kwenye mabank makubwa. Jana Kenya wametanga currency yao Iko at the lowest against dollar over the past 50 years. Usd 1= 150Ksh (3000).

Hii move ya Mmarekani aifanye kiumakini sana, bila ivyo itachangia dola ipotee kabisa kwenye ramani. Kadri wanavyoifanya dola iwe chache kwenye mzunguko ndivyo nchi nyingi zaidi zinajitoa kwenye matumizi ya dola katika biashara zake. Maana hawana iyo dola.

Tuombe tu washauri wa mama walione hili mapema, huu ndo muda wa kuachana na USD. We trade zaidi na China, Saudia na India. Why are we using a third part currency kwenye hizi transactions?
Tunatumia currency ambayo ipo stable. Kuna mambo mengi yanachangia currency kuwa stable Kama government transparency, Gdp, ... Hi I vitu nchi nyingi hazina mfano China ivi tufanye mfano kama umeamua kutumia pesa ya mchina, hivi unadhani ndani ya miaka ishirini unafikiri China ya sass ndo itakuwa hivyo hivyo, nchi ambayo inaenda kutokana na mawazo ya mtu mmoja atakavyoamka ndo ivyo ivyo.
 
Tunatumia currency ambayo ipo stable. Kuna mambo mengi yanachangia currency kuwa stable Kama government transparency, Gdp, ... Hi I vitu nchi nyingi hazina mfano China ivi tufanye mfano kama umeamua kutumia pesa ya mchina, hivi unadhani ndani ya miaka ishirini unafikiri China ya sass ndo itakuwa hivyo hivyo, nchi ambayo inaenda kutokana na mawazo ya mtu mmoja atakavyoamka ndo ivyo ivyo.
Ni kweli kabisa ndugu yangu
 
Back
Top Bottom