joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,174
- 31,756
Kaka China na India wanaangalia wananchi wao na sera yao hawafungamani na upande wowote, so adui wa US na EU wao sio adui yao.Pili idadi ya India na China ni mara mbili ya EU ,so Russia bado hawaja poteza kitu na China na Russia hawajaanza kushirikiana, leo kwani US choko choko kwa Russia alianza zamani ili still bado China na Russia wapo sawa.au umesahau umeandika nin kuhusu masoko ya gesi ya urus kuwa ni china na india , sasa ndo nimekuambia hayo hayo masoko ya urusi ndo patners wakubwa wa EU kweny biashara so anytime things can change , usiwaamin wachina hao wanamalengo sio wazee wa bwai bwai za kijinga
So brother kikwazo pekee kitacho muumiza Russia labda kuzuia hewa ya Oksijeni isiwepo kwenye anga la Russia, vinginevyo Russia ataendelea kusimama.