EU yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Moscow

EU yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Moscow

Alafu acha kukalili gesi nchi nyingi wanauza so mataifa mengi yanapanga kuanza kununua gesi sehemu nyingine hata kama gharama zitazidi....Leo ujerumani wanasema ifikapo mwezi huu mwisho itaacha kununua gesi na mafuta kutoka Russia maana yake itanunua kwengine....
Kusema na kuimplement ni vitu viwili tofauti. Hujazungumzia gharama ya kununua hiyo gas, hivi unazani kazi nyepesi kureplace zaidi 40% ya gasi anayoigumia Germany ndani ya mwezi mmoja.
 
Yaani Google wasepe, Coca-Cola wasepe, Pepsi, Nike, Amazon, no visa card, master card, no kuuza mafuta no kuuza makaa ya mawe afu useme Urusi haitayumba,
Yani wew ni mpuuz kweliii hata hujui unachokiongea Kuna watu hawanywi hayo masoda wala mabia watu wanatizama chakula sio vitu vya anasa kilaza wew
 
Nimefuatilia nilicho kiongea na kijua,UK na Norway ni washirika wa karibu wa US lazima wangefanya hivyo.

Haya zitoe hizo nchi then nchi ambazo hazijamwekea vikwazo Urusi zipo ngapi? Sababu nchi zilizomwekea vikwazo ni chache ukilinganisha ambazo hazijamwekea na hata wao wameweka vikwazo baadhi ya maeneo,lkn yale maeneo ambayo wanahisi wataumia mf gas, oil na mbolea hawajaweka vikwazo, still bado wana mwitaji Russia.

Hivi ushajiuliza kesho Russia akisema siuzi mbolea US, hivi hali ya upatikanaji chakula utakuwaje manake hii ya kununua gas kwa Ruble, oil na gas bei imapanda je siku akisema kama wao si uzi mbolea yangu na si US hata nchi nyingi za EU zinategemea mbolea kutoka Russia.

RUSSIA HAKWEPEKI, JUST IMAGINE KASEMA Oil na GAS kwa nchi ambazo ni maadui zitauzwa kwa Ruble, bei imepanda dunia nzima. Je akifanya kama walivyo mfanyia wao, akakataa kuwauzia mafuta na gasi unazani EU, US na dunia kwa ujumla hali itakuwaje.
Nchi ambazo hazijaiwekea Russia vikwazo ni miongoni mwa nchi nyingi ambazo hazina uthibiti katika mifumo ya kiuchumi ya dunia. Kwa lugha nyingine, hazina ushawishi kiuchumi. Wakati, nyingi zilizoiwekea vikwazo ni zile zenye ushawishi mkubwa katika masuala ya kiuchumi duniani.

Maana yake ni kuwa, kipimo cha vikwazo kinakosa usawa baina ya nchi mbalimbali duniani. Kumbuka, awali niliuliza swali kuhusu kipimo ambacho kinaweza kutumika kuonesha pande za nchi za kimataifa katika mgogoro huu! In fact, kipimo chenye usawa kwa wote. Huu mjadala nimeujadili sana humu!

Biashara ni mtaa wenye njia mbili! Kwa kiingereza tunasema: "two way street". Kila upande unahitaji kitu kutoka upande mwingine. Russia haigawi gesi na mafuta bure, haitoi msaada, bali inauza ili ipate mapato kwaajili ya maendeleo ya nchi kwa ujumla. Hata kuendesha serikali tu kunahitaji fedha!

Russia ikigoma kuuza bidhaa zake kwa wateja wake muhimu kama EU automatically itakosa mapato. Maana yake, itaathirika kiuchumi. Russia inahitaji fedha kwaajili ya maendeleo ya nchi kama ambavyo wengine wanavyohitaji nishati.
 
Nchi ambazo hazijaiwekea Russia vikwazo ni miongoni mwa nchi nyingi ambazo hazina uthibiti katika mifumo ya kiuchumi ya dunia. Kwa lugha nyingine, hazina ushawishi kiuchumi. Wakati, nyingi zilizoiwekea vikwazo ni zile zenye ushawishi mkubwa katika masuala ya kiuchumi duniani.

Maana yake ni kuwa, kipimo cha vikwazo kinakosa usawa baina ya nchi mbalimbali duniani. Kumbuka, awali niliuliza swali kuhusu kipimo ambacho kinaweza kutumika kuonesha pande za nchi za kimataifa katika mgogoro huu! In fact, kipimo chenye usawa kwa wote. Huu mjadala nimeujadili sana humu!

Biashara ni mtaa wenye njia mbili! Kwa kiingereza tunasema: "two way street". Kila upande unahitaji kitu kutoka upande mwingine. Russia haigawi gesi na mafuta bure, haitoi msaada, bali inauza ili ipate mapato kwaajili ya maendeleo ya nchi kwa ujumla. Hata kuendesha serikali tu kunahitaji fedha!

Russia ikigoma kuuza bidhaa zake kwa wateja wake muhimu kama EU automatically itakosa mapato. Maana yake, itaathirika kiuchumi. Russia inahitaji fedha kwaajili ya maendeleo ya nchi kama ambavyo wengine wanavyohitaji nishati.
Russia na India wapo tayari kuziba hilo gap la EU ndio maana nika kwambia, nchi zilizo mkazia Russia ni chache sana na nina uhakika baadhi yao watarudi kufanya biashara na Russia.Sababu huwezi mridhisha US na EU huku ww wananchi wako wanaumia na nchi zitaendelea kufanya biashara na Russia.

Umesema Russia akigoma kuuza gesi ataathiri uchumi wake vipi hizo nchi za ulaya ambazo nyingine wanategemea gesi ya Russia kwa zaidi ya 80% uchumia wao utakuwaje,kila mtu anahitaji fedha, kila mtu anahitaji kuzalisha kwa gharama nafuu na kila mtu anataka wananchi wake wasipate tabu waishi maisha ya gharama nafuu.

Wenzetu ulaya hawajui kuvumilia vitu vimeanza kupanda bei,gharama za maisha zimepanda sasa subiria maandamano yake.
 
Alafu acha kukalili gesi nchi nyingi wanauza so mataifa mengi yanapanga kuanza kununua gesi sehemu nyingine hata kama gharama zitazidi....Leo ujerumani wanasema ifikapo mwezi huu mwisho itaacha kununua gesi na mafuta kutoka Russia maana yake itanunua kwengine....
Ushashiba magimbi sasa unakuja kutudanganya uku wapi Germany alisema ataachana na gesi ya urusi wap walisema waacha mafuta Ila siyo gesii
 
Nchi ambazo hazijaiwekea Russia vikwazo ni miongoni mwa nchi nyingi ambazo hazina uthibiti katika mifumo ya kiuchumi ya dunia. Kwa lugha nyingine, hazina ushawishi kiuchumi. Wakati, nyingi zilizoiwekea vikwazo ni zile zenye ushawishi mkubwa katika masuala ya kiuchumi duniani.

Maana yake ni kuwa, kipimo cha vikwazo kinakosa usawa baina ya nchi mbalimbali duniani. Kumbuka, awali niliuliza swali kuhusu kipimo ambacho kinaweza kutumika kuonesha pande za nchi za kimataifa katika mgogoro huu! In fact, kipimo chenye usawa kwa wote. Huu mjadala nimeujadili sana humu!

Biashara ni mtaa wenye njia mbili! Kwa kiingereza tunasema: "two way street". Kila upande unahitaji kitu kutoka upande mwingine. Russia haigawi gesi na mafuta bure, haitoi msaada, bali inauza ili ipate mapato kwaajili ya maendeleo ya nchi kwa ujumla. Hata kuendesha serikali tu kunahitaji fedha!

Russia ikigoma kuuza bidhaa zake kwa wateja wake muhimu kama EU automatically itakosa mapato. Maana yake, itaathirika kiuchumi. Russia inahitaji fedha kwaajili ya maendeleo ya nchi kama ambavyo wengine wanavyohitaji nishati.
Ila hao wanaonunua gesi ya RUSSIA hawataathirika KIUCHUMI ikitokea wakaikosa GAS ya RUSSIA
hivi vikwazo vinabinya kote kote nandio maana mpaka muda huu huko EU hawajawa namsimamo wakueleweka juu ya RUSSIA
Ukweli nikwamba wanataka ama wanapenda wasutumie GAS ya RUSSO hata tone moja ila kwaupande huo huo wakiwazia matokeo hasi watakayo yapata wakiikataa jumla jumla wanabakia kua wapole
Ngojea hizo reserve zao zizidi kukaribia kumalizika lazima watamrejelea RUSSIA tena watamuomba msamaha sana nalazima watanunua MAFUTA na GAS tena kwa RUBO
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Najiuliza kwann wanaweka vikwazo ikiwa wao ndo wanateseka?
Hapo ndo uelewe nguvu ya propaganda, ni kama zelensky anapolalamika kuwa Russia anamuumiza wakati huohuo amefanakiwa pakubwa kumzuia.

Westerns wangeumia kwa vikwazo hivi, wala wasingeendelea kumwekea jamaa vikwazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hapo ndo uelewe nguvu ya propaganda, ni kama zelensky anapolalamika kuwa Russia anamuumiza wakati huohuo amefanakiwa pakubwa kumzuia.

Westerns wangeumia kwa vikwazo hivi, wala wasingeendelea kumwekea jamaa vikwazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wanapiga huku wanapiga yowe.
 
Russia na India wapo tayari kuziba hilo gap la EU ndio maana nika kwambia, nchi zilizo mkazia Russia ni chache sana na nina uhakika baadhi yao watarudi kufanya biashara na Russia.Sababu huwezi mrizisha US na EU huku ww wananchi wako wanaumia.
Gap halizibwi overnight!

Miundombinu pekee iliyo bora na rahisi ama nafuu zaidi kwa sasa ya usafirishaji wa nishati kutoka Russia ni ile iliyopo sasa kati ya Russia na nchi za Ulaya. EU ndiye mteja mkubwa. Russia haina sababu kiuchumi ya kuzuia hiyo biashara maana itawaathiri wao zaidi ukizingatia vikwazo walivyowekewa katika maeneo mengine.

Hizo nchi chache unazosema ni zipi?

Nchi zilizoiwekea vikwazo Russia ni miongoni mwa nchi zenye nguvu katika masuala ya kiuchumi ya dunia. Nyingi kati ya hizo zimeizidi hata Russia yenyewe kiuchumi. Ni chache lakini zina impact kubwa kwenye uchumi wa dunia.
 
Vikwazo vyovyote atakavyo weka EU havito muumiza Russia, bali vitaendelea kuwaumiza wananchi wao. Yaani kama US na EU wangekuwa wanashikilia hewa ya Oksijeni mpaka sasawangekuwa washaizuia Russia may be wangeiumiza Russia lkn ndio hivyo vingine Russia alisha jiandaa navyo.

Vikwazo vyao vya kipuuzi havimuumizi Russia, ila kikwazo kimoja tena sio kikwazo kwani Russia hajamzuia mtu kununua mafuta na gesi bali kabadilisha utaratibu wa kununua kwa hela yake, still wananchi wao wa EU na US gharama za maisha zimepanda, je angesema afunge mafuta na gasi si wangetafutana.
Vinaumiza wote, Urusi zaidi.
 
Gap halizibwi overnight!

Miundombinu pekee iliyo bora na rahisi ama nafuu zaidi kwa sasa ya usafirishaji wa nishati kutoka Russia ni ile iliyopo sasa kati ya Russia na nchi za Ulaya. EU ndiye mteja mkubwa. Russia haina sababu kiuchumi ya kuzuia hiyo biashara maana itawaathiri wao zaidi ukizingatia vikwazo walivyowekewa katika maeneo mengine.

Hizo nchi chache unazosema ni zipi?

Nchi zilizoiwekea vikwazo Russia ni miongoni mwa nchi zenye nguvu katika masuala ya kiuchumi ya dunia. Nyingi kati ya hizo zimeizidi hata Russia yenyewe kiuchumi. Ni chache lakini zina impact kubwa kwenye uchumi wa dunia.
Nikuwekea link ya habari ya Aljazeera nchi zilizo iwekea vikwazo Russia au unapingana nayo?

Umetumia neno zuri UCHUMI WA DUNIA, now jiulize sababu kwanini sasa hivi UCHUMI WA dunia umetikiswa na nchi gani iliyo UTIKISA UCHUMI wa dunia manake si nchi za daraja la mwisho wala la kwanza kote duniani kilio kimoja.

Kwa hiyo hizo nchi nyingine ambazo wanategemea gesi ya Russia zaidi ya 40% uchumi wao hautotikisika?

Kama gap haliwezi zibwa overnight, vipi kwa wananchi wa ulaya manake wanatakiwa kuvumilia, je moyo wa kuvumilia wanao wakati gharama za maisha zimepanda maradufu. Ujue unapo iponda Russia rudi kwenye uhalisia wa hali ya sasa kwa ulaya na wananchi wake.

Kaka huku tunapoelekea hivi vikwazo watu wataviona vya kawaida na ndio maana China, America Kusini, Africa na baadhi ya nchi za Russia wapo tayari kufanya biashara na Russia, tena kwa hela zao na SI DOLA na hiki kitu cha kufanya biashara bila kugumia Dola US hakitaki na ndicho kina muumiza sana,hasa Russia kuuza bidhaa kwa hela yake ya Ruble.

Brother Ruble ukitoboa nchi nyingine rasilimali zao watauza kwa hela zao kitu ambacho US hataki kusikia na ndio maana wengi wamechagua kuto egemea upande wowote.
 
Ila hao wanaonunua gesi ya RUSSIA hawataathirika KIUCHUMI ikitokea wakaikosa GAS ya RUSSIA
hivi vikwazo vinabinya kote kote nandio maana mpaka muda huu huko EU hawajawa namsimamo wakueleweka juu ya RUSSIA
Ukweli nikwamba wanataka ama wanapenda wasutumie GAS ya RUSSO hata tone moja ila kwaupande huo huo wakiwazia matokeo hasi watakayo yapata wakiikataa jumla jumla wanabakia kua wapole
Ngojea hizo reserve zao zizidi kukaribia kumalizika lazima watamrejelea RUSSIA tena watamuomba msamaha sana nalazima watanunua MAFUTA na GAS tena kwa RUBO
RUSSIA sio ZIMBABWE
Nimesema tangu awali, vikwazo vitaiathiri EU kwa kiasi fulani, ila Russia itaathirika zaidi long-term kuliko nchi zinazonunua nishati kwake.

Kuna nchi tayari zimekwisha anza kuwekeza katika nishati mbadala ili kupunguza uingizwaji wa gesi kutoka Russia. Maana yake ni kuwa, mahitaji ya nishati ya Russia kwa nchi hizo yanakwenda kupungua kuanzia kipindi hiki. Mchumi yeyote makini ataiona hiyo trend.

Russia haiwezi kupeleka nishati zaidi ya mahitaji, supply inapaswa kuendana na demand ya bidhaa. Italazimika kutafuta wateja wengine wa kuziba hiyo nafasi. Wapo, ila mazingira ya kimiundombinu ni hafifu kwa sasa. Facilitation ya miundombinu inahitaji fedha na muda.
 
Vikwazo vyovyote atakavyo weka EU havito muumiza Russia, bali vitaendelea kuwaumiza wananchi wao. Yaani kama US na EU wangekuwa wanashikilia hewa ya Oksijeni mpaka sasawangekuwa washaizuia Russia may be wangeiumiza Russia lkn ndio hivyo vingine Russia alisha jiandaa navyo.

Vikwazo vyao vya kipuuzi havimuumizi Russia, ila kikwazo kimoja tena sio kikwazo kwani Russia hajamzuia mtu kununua mafuta na gesi bali kabadilisha utaratibu wa kununua kwa hela yake, still wananchi wao wa EU na US gharama za maisha zimepanda, je angesema afunge mafuta na gasi si wangetafutana.
Ungekuwa na ufahamu hata kidogo jinsi ya embargoes zinavyoathiri uchumi wa nchi targeted usingeongea hiko ulichokisema. Putin mwenyewe amekiri wazi kuwa vikwazo vilivyowekwa vimeiathiri Urusi.
 
Yaani Google wasepe, Coca-Cola wasepe, Pepsi, Nike, Amazon, no visa card, master card, no kuuza mafuta no kuuza makaa ya mawe afu useme Urusi haitayumba,
Mkuu Kuna watu humu ni mapimbi sanaaa [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Hebu niambie Urusi alivyo badilisha utaratibu wake wa kuuza gesi kwa hela yake, vipi kampuni za huko EU na US pamoja na wananchi wao wana hali gani?

US kaweka vikwazo kote ila kwenye mbolea ya Russia hajaweka vikwazo,ushajiuliza kwa nini?

Vipi kesho Russia akiweka vikwazo wananchi wake US watakuwa na hali gani?
Halafu hapo unazungumzia chakula sio YouTube, Facebook, Apple, Coca-Cola, Boeing,Nissan na Toyota ambazo sio muhimu kwele mwili wa binadamu,hizo ni luxury needs na si basics needs.
Sasa kama wafanyakazi kwa maelfu wako jobless na familia zao hicho chakula watanunuaje?? Serikali itawapa free meals na pesa za matumizi mengine?
 
Vikwazo vyovyote atakavyo weka EU havito muumiza Russia, bali vitaendelea kuwaumiza wananchi wao. Yaani kama US na EU wangekuwa wanashikilia hewa ya Oksijeni mpaka sasawangekuwa washaizuia Russia may be wangeiumiza Russia lkn ndio hivyo vingine Russia alisha jiandaa navyo.

Vikwazo vyao vya kipuuzi havimuumizi Russia, ila kikwazo kimoja tena sio kikwazo kwani Russia hajamzuia mtu kununua mafuta na gesi bali kabadilisha utaratibu wa kununua kwa hela yake, still wananchi wao wa EU na US gharama za maisha zimepanda, je angesema afunge mafuta na gasi si wangetafutana.
Raia wa EU wameafiki vikwazo. Wamekubali maumivu ya kiuchumi ni moja ya gharama ya kupiga vita kushamiri udikteta. Let freedom ring.
 
Back
Top Bottom