EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Hatutaki kesi hii ifutwe kwani bado yapo maovu mengi yanayofanyqa na vyombo vya dola ili kuinusuru CCM na ni kupitia kesi hii tu ndiyo umma wa Watanzania utaweza kuyajua. Wacha twende hadi Mahakama ya Rufaa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
02 December 2021
Brussels, EU

BREAKING: BUNGE LA ULAYA LAINGILIA KESI YA MBOWE LAPIGA MKWARA MZITO RAIS SAMIA ATAJWA
Pia mkutano wa mwezi oktoba 2021 baina ya Umoja wa Ulaya na waziri wa mambo ya nje Dr Liberata Mulamula, waziri wa ulinzi Dr. Stergomena Tax watiliwa mashaka kama utaweza kurekebisha hali tete ya hewa ya kisiasa, demokrasia na uhuru wa habari Tanzania
 
CCM-Tanzania Sio Polisi-Tanzani, Na Polisi -Tanzania Sio CCM-Tanzania

Pathetic!! Umeona ulichoamua kuangalia. Kuna sehemu nimesema Polisi ni CCM. Nilichokisema kinaweza kueleweka kwa mtu anayeona tu, bali kwa anayefikiri. Kufikiri sio fani yako
 
Sio Tanzania tu nchi zote za Africa hazijawa huru! Usipumbazwe na uhuru wa makaratasi.

Angalia bajeti ya Tanzania ni kiasi gani kinachangiwa na hao mnaoita mabeberu ndio utajua lazima kuna vitu viwe complied ndoa iendelee kuwepo.
 
Hivi haiwezekani wachangiaji mada wakachangia bila matusi na name calling?
Watu wastaarabu huwa wanalumbana kwa nguvu za hoja ma sio hoja za nguvu na matusi.
Ukijadili hoja kwa feelings na sio logic na commonsense basi mwisho inakuwa matusi na kudhalilishana.
Tanzania ni yetu wote.Tupo kwenye mtumbwi mmoja pale kwenye changamoto na makosa tuelezane na kukosoana kwa hekima.
Napata tabu kuchangia mada ambazo mwisho wake ni matusi.
Tusiwe kama wapenzi wajinga wa Simba na Yanga.
Nobody is perfect.No society is perfect.Hakuna Nchi ambayo ni Utopia kama kitabu cha mwandishi Sir Thomas More kilivyojaribu kueleza kuhusu society ambayo ni Utopia.
Changamoto zetu ni nyingi tusipoteze muda.
Kama Tanzania ni yetu wote mbona CCM wanajimilikisha.
 
Back
Top Bottom