Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,385
Halafu utekelezaji wa hiyo bajeti ni chini ya 50%.Bajeti yetu 91.8% ni pesa yetu, Hata hili hujui?
Halafu utekelezaji wa hiyo bajeti ni chini ya 50%.Bajeti yetu 91.8% ni pesa yetu, Hata hili hujui?
CHADEMA MMEKUTANA NA KITU KIZITO AWAMU HII,
CCM YA SAMIA USIPIME,
TUMEWASHIKA KILA KONA,
MMEBAKI KURIPOTI KESI YA MBOWE TU
HOJA HAKUNA TENA
#KAZIINDELEE
Nchi ya kwetu sote hii. Hakuna mwenye uchungu nayo zaidi ya mwingine.Haya bwana mkubwa
Asnte kwa kusomaHaya bwana mkubwa
Lete mfanoHalafu utekelezaji wa hiyo bajeti ni chini ya 50%.
waumie wapate akiliWatanzania wataumia
SawaHatutaki kesi hii ifutwe kwani bado yapo maovu mengi yanayofanyqa na vyombo vya dola ili kuinusuru CCM na ni kupitia kesi hii tu ndiyo umma wa Watanzania utaweza kuyajua. Wacha twende hadi Mahakama ya Rufaa.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ndio maana ya kukosa Uzalendo hii,waumie wapate akili
Chadema utakufa utaiacha mkuu. Trust meCHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,
Ndio maana lichama linakufa kibudu,
02 December 2021
Brussels, EU
BREAKING: BUNGE LA ULAYA LAINGILIA KESI YA MBOWE LAPIGA MKWARA MZITO RAIS SAMIA ATAJWA
Hata TLP tutaicha nikweliChadema utakufa utaiacha mkuu. Trust me
CCM-Tanzania Sio Polisi-Tanzani, Na Polisi -Tanzania Sio CCM-Tanzania
Tlp ilikuwa ccm b. Hukulitambua hilo?Hata TLP tutaicha nikweli
Hawana cha kufanya hata hivyoHata hivyo EU wamechelewa sana!!Mwamba ameshaumia sana!!
CUF ipo piaTlp ilikuwa ccm b. Hukulitambua hilo?
Kama Tanzania ni yetu wote mbona CCM wanajimilikisha.Hivi haiwezekani wachangiaji mada wakachangia bila matusi na name calling?
Watu wastaarabu huwa wanalumbana kwa nguvu za hoja ma sio hoja za nguvu na matusi.
Ukijadili hoja kwa feelings na sio logic na commonsense basi mwisho inakuwa matusi na kudhalilishana.
Tanzania ni yetu wote.Tupo kwenye mtumbwi mmoja pale kwenye changamoto na makosa tuelezane na kukosoana kwa hekima.
Napata tabu kuchangia mada ambazo mwisho wake ni matusi.
Tusiwe kama wapenzi wajinga wa Simba na Yanga.
Nobody is perfect.No society is perfect.Hakuna Nchi ambayo ni Utopia kama kitabu cha mwandishi Sir Thomas More kilivyojaribu kueleza kuhusu society ambayo ni Utopia.
Changamoto zetu ni nyingi tusipoteze muda.