Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,992
- 6,290
Acha kujitoa ufahamu Mkuu. Ni nini hukuelewa hapo? Au unawaza kama kina Kingai na Jaji Siyani???Hebu rudia kusoma kama utaona hoja hapa
Acha kujitoa ufahamu Mkuu. Ni nini hukuelewa hapo? Au unawaza kama kina Kingai na Jaji Siyani???Hebu rudia kusoma kama utaona hoja hapa
Unazungumza vitu vigeni sana mkuu wanguAcha kujitoa ufahamu Mkuu. Ni nini hukuelewa hapo? Au unawaza kama kina Kingai na Jaji Siyani???
Ndio maana nikakwambia ubongo wako umegandamizwa...yaan huon hoja hapo? Hoja ni kwamba kma unataka kutuaminisha Tanzania Ina utawala wa sheria, mbona mama yako alitoa hukum kabla ya sheria?. Jibu hapo...Hebu rudia kusoma kama utaona hoja hapa
Tulia wewe Wazungu wawafundishe maadili ya Utawala bora. "Free State" ipo South Arica tu, inaitwa Orange Free state.Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua
Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,
Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?
CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?
CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?
Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya
Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi
Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia
Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe
Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?
Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania
Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?
Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?
CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii
Mnatuumiza sana sisi watu wa chini
Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu
Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers
Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu
Plze Brothers & Sisters STOP IT
WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.
Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe
View attachment 2030228
View attachment 2030229
All eyes on the new administration after the passing on of John Pombe Joseph Magufuli
Ungewauliza wao mkuu. Mm nnachojua Tanzania hakuna polisi anayeweza kunusa harufu ya UGAIDI!OCD mmoja katika Wilaya 139 anaweza kujustfy hiyo hoja yako?
Soma alichoandika cm1774858 #91, ndiyo sababu nimeshangaa kama naye ni GT.
Alitoa hukumu gani?Ndio maana nikakwambia ubongo wako umegandamizwa...yaan huon hoja hapo? Hoja ni kwamba kma unataka kutuaminisha Tanzania Ina utawala wa sheria, mbona mama yako alitoa hukum kabla ya sheria?. Jibu hapo...
CHADEMA kumbe mnadharau wakulima
Tukio la Hamza liliwaongezea umakini, That's whyUngewauliza wao mkuu. Mm nnachojua Tanzania hakuna polisi anayeweza kunusa harufu ya UGAIDI!
wala hakuna tukio lolote la magaidi hapa.
Walishindwa hata kujua mienendo ya bwana Hamza aliyekaa km toka ikulu wanawanalojua hao polisi zaidi ya kubambikizia case na rushwa???
Haikuwa hoja yako, Rudia comment yakoWakulima wanadharauliwa na ccm maana miaka dahari wao mazao yao yanauzwa kwa bei duni.
Umakini baada ya tukio ???? Hilo siyo jeshi la polisi lenye weledi ndo maana limejaa mitoto ya kina MAHITATukio la Hamza liliwaongezea umakini, That's why
Tutasimamia sheria na taratibu tulizojiwekea kwa gharama zote.
Kama MWANACCM SABAYA YUKO JELA MBOWE NI NANI MBELE YA SHERIA?
Haikuwa hoja yako, Rudia comment yako
EU waache ku-support budget ya 2022-2023 tuone CCM itafanya nini
Za BOT zinasemaje mbona walijaa watoto wa wakubwa???Kwani Sheria za ajira kwa polisi zinasemaje?
Jina Mahita halitakiwi?
CHADEMA MMEKUTANA NA KITU KIZITO AWAMU HII,Mleta mada bora babaako angepiga punyeto tu kipindi anakukojoa
Haya bwana mkubwaZa BOT zinasemaje mbona walijaa watoto wa wakubwa???
Za uuzaji wa nyumba za umma zinasemaje mbona nyumba za serikali ziliuzwa mpaka kwa mahawala na ndugu ambao hata hawakuwa watumishi?
Sheria za ajira za polisi zinakataza wasikaguliwe VYETI vyeo huku wengine wakitolewa kazini??