EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

ww kwa akili yako leo hii tunasherehekea miaka 60 ya uhuru lakini ukongwe wake na maendeleo vinaendana je? nani alaumiwe wewe unadhani?
Tanzania ni miongoni mwa nchi kumi Tajiri zaidi Africa unajua hili?
 
Hayasomeki kabisa
CCM kilikua chama Cha kuwapigania Wananchi kipindi Cha mwalimu Nyerere tu lakini siku hizi kimekua Cha mahalamia kama wewe,kwenu kuendesha chi mnatumia uongo tu ndo Mana mnapora uchaguzi halafu mnashangilia mmeshinda Sasa kwa akili hiyo kweli mtakua na akili ya kuwaletea Wananchi maendeleo kweli?Kama umeme tu umewashinda kipi Tena mtaweza? Burundi na Rwanda pamoja na vulugu zao za kisiasa Wana umeme .Sasa unakipi Cha kudanganya watu wenye akili.Acha upumbavu wako wa kusema uongo Mshenzi mkubwa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,

Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa?

Leo Lemma anatafuta nini Canada?

Leo Wenje anatafuta nini Ulaya?

Leo Ngurumo anatafuta nini huko?


Watanzania tugutuke
Ni mabalozi wa CHADEMA
 
CCM kilikua chama Cha kuwapigania Wananchi kipindi Cha mwalimu Nyerere tu lakini siku hizi kimekua Cha mahalamia kama wewe,kwenu kuendesha chi mnatumia uongo tu ndo Mana mnapora uchaguzi halafu mnashangilia mmeshinda Sasa kwa akili hiyo kweli mtakua na akili ya kuwaletea Wananchi maendeleo kweli?Kama umeme tu umewashinda kipi Tena mtaweza? Burundi na Rwanda pamoja na vulugu zao za kisiasa Wana umeme .Sasa unakipi Cha kudanganya watu wenye akili.Acha upumbavu wako wa kusema uongo Mshenzi mkubwa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
CHADOMO mnashule ya Matusi?
 


Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.

Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe



View attachment 2030228

View attachment 2030229

Mkifatafata ya wenzenu mtachelewa sana kufanya yenu. Kama mnatupenda sana watanzania mbona hamjaja kuishi na sisi huku mgeta morogoro au kuja kuwaletea chakula watoto wa wote waliomuamini mbwewewe wenu au tobo lisusu na wakafungwa huku watoto wao wanataabika na watoto wa vibaraka wenu wanazidi kunenepa?? Hapa hatoki mtu hadi sheria iamue....mmmbwaaaaaa nyie
 


Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.

Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe



View attachment 2030228

View attachment 2030229
Free state mnaendesha serikali 80% kwa pesa za mkopo,dada kunywa fanta urudishe sukari uliyopoteza mwilini,bladifaken
 
Mkifatafata ya wenzenu mtachelewa sana kufanya yenu. Kama mnatupenda sana watanzania mbona hamjaja kuishi na sisi huku mgeta morogoro au kuja kuwaletea chakula watoto wa wote waliomuamini mbwewewe wenu au tobo lisusu na wakafungwa huku watoto wao wanataabika na watoto wa vibaraka wenu wanazidi kunenepa?? Hapa hatoki mtu hadi sheria iamue....mmmbwaaaaaa nyie
Nimependa hii Comment crde
 
Back
Top Bottom