Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
We mpaka matundu ya choo unajengewa kwa hisana unafikiri una uwezo wa kujilisha?Hebu sema tunalishwa na nani?
We mpaka matundu ya choo unajengewa kwa hisana unafikiri una uwezo wa kujilisha?Hebu sema tunalishwa na nani?
sijatishwa mimi,waulize waliokimbia nchi au waliokubwa na kadhia hioUmetishwa wapi?
Tanzania ni miongoni mwa nchi kumi Tajiri zaidi Africa unajua hili?ww kwa akili yako leo hii tunasherehekea miaka 60 ya uhuru lakini ukongwe wake na maendeleo vinaendana je? nani alaumiwe wewe unadhani?
Sabaya ana makosa mkuuMbona alipofungwa Sabaya hamkusema mahakama hazipo huru kwa mbowe ndio inaonekana haipo Hutu?
Misaada Tanzania mfano kwenye bajeti hii ya 2021|22 ni 8.2% unajua hili?We mpaka matundu ya choo unajengewa kwa hisana unafikiri una uwezo wa kujilisha?
Sawa ni mahakama ndio ilituthibitishia, Mbowe pia acheni mahakama ifanye hivyo,Sabaya ana makosa mkuu
CCM kilikua chama Cha kuwapigania Wananchi kipindi Cha mwalimu Nyerere tu lakini siku hizi kimekua Cha mahalamia kama wewe,kwenu kuendesha chi mnatumia uongo tu ndo Mana mnapora uchaguzi halafu mnashangilia mmeshinda Sasa kwa akili hiyo kweli mtakua na akili ya kuwaletea Wananchi maendeleo kweli?Kama umeme tu umewashinda kipi Tena mtaweza? Burundi na Rwanda pamoja na vulugu zao za kisiasa Wana umeme .Sasa unakipi Cha kudanganya watu wenye akili.Acha upumbavu wako wa kusema uongo Mshenzi mkubwa wewe.Hayasomeki kabisa
Ni mabalozi wa CHADEMAChamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,
Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa?
Leo Lemma anatafuta nini Canada?
Leo Wenje anatafuta nini Ulaya?
Leo Ngurumo anatafuta nini huko?
Watanzania tugutuke
Acha kudanganya watu wenye akili nchi inaendeshwa kwa mikopo kutoka Ulaya ,Marekani na China.Misaada Tanzania mfano kwenye bajeti hii ya 2021|22 ni 8.2% unajua hili?
CHADOMO mnashule ya Matusi?CCM kilikua chama Cha kuwapigania Wananchi kipindi Cha mwalimu Nyerere tu lakini siku hizi kimekua Cha mahalamia kama wewe,kwenu kuendesha chi mnatumia uongo tu ndo Mana mnapora uchaguzi halafu mnashangilia mmeshinda Sasa kwa akili hiyo kweli mtakua na akili ya kuwaletea Wananchi maendeleo kweli?Kama umeme tu umewashinda kipi Tena mtaweza? Burundi na Rwanda pamoja na vulugu zao za kisiasa Wana umeme .Sasa unakipi Cha kudanganya watu wenye akili.Acha upumbavu wako wa kusema uongo Mshenzi mkubwa wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
utajiri wa rasilimali au nin unazungumzia?Tanzania ni miongoni mwa nchi kumi Tajiri zaidi Africa unajua hili?
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu
Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua
Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,
Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?
CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?
CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?
Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya
Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi
Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia
Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe
Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?
Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania
Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?
Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?
CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii
Mnatuumiza sana sisi watu wa chini
Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu
Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers
Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu
Plze Brothers & Sisters STOP IT
WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.
Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe
View attachment 2030228
View attachment 2030229
Huu ndio ukweli, 91.8% ni pesa yetuAcha kudanganya watu wenye akili nchi inaendeshwa kwa mikopo kutoka Ulaya ,Marekani na China.
Sent using Jamii Forums mobile app
GDPutajiri wa rasilimali au nin unazungumzia?
Free state mnaendesha serikali 80% kwa pesa za mkopo,dada kunywa fanta urudishe sukari uliyopoteza mwilini,bladifaken
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu
Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua
Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,
Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?
CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?
CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?
Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya
Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi
Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia
Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe
Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?
Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania
Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?
Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?
CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii
Mnatuumiza sana sisi watu wa chini
Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu
Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers
Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu
Plze Brothers & Sisters STOP IT
WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.
Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe
View attachment 2030228
View attachment 2030229
Nimependa hii Comment crdeMkifatafata ya wenzenu mtachelewa sana kufanya yenu. Kama mnatupenda sana watanzania mbona hamjaja kuishi na sisi huku mgeta morogoro au kuja kuwaletea chakula watoto wa wote waliomuamini mbwewewe wenu au tobo lisusu na wakafungwa huku watoto wao wanataabika na watoto wa vibaraka wenu wanazidi kunenepa?? Hapa hatoki mtu hadi sheria iamue....mmmbwaaaaaa nyie
Unamtoa wapi hii?Free state mnaendesha serikali 80% kwa pesa za mkopo,dada kunywa fanta urudishe sukari uliyopoteza mwilini,bladifaken
Sikiliza wao wenyewe wanachosemaHapo siyo CDM nadhani ni masharti ya misaada tunayochukua kwao!
Achana na huyu mpuuzimwambie uyo,