EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?



Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.

Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe



View attachment 2030228

View attachment 2030229

Free state?!!free state inayo omba omba misaada hat ya kujenga vyoo!!
Hakuna Cha kesi pale,
Watawala wa ccm,wanaogopa mabadiriko yoyote yatakayo wapunguzia ulqji,wizi,na hata kuwatoa Madarakani,kila anaye hatarisha maslahi yao lazima apigwe rungu la kichwa anyamazishwe,Ili tabaka tawala,ndugu zao,marafiki,waendelee kula nchi watakavyo.
Na kwa sasa hv,Mbowe "is the thorn",in there flesh lazima wa mminye asipige kelele,
 
Chadema hawakuanza kuisiliba nchi kidipromasia kabla ya kesi kuanza ila ilipoanza tu kwa michongo inayoonekana kwenye kesi kila mwenye akili timamu anaziba mdomo kwa mshangao
 
Tutasimamia sheria na taratibu tulizojiwekea kwa gharama zote.

Kama MWANACCM SABAYA YUKO JELA MBOWE NI NANI MBELE YA SHERIA?
Wewe kenge usinisababishe ban bure ..hivi kibaka,Jambazi,mjinga yule kama baba yake marehemu umfananishe na Mh FAB???? proven kweli mungu alitupa level of reasonining tofauti
 
Chamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,

Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa?

Leo Lemma anatafuta nini Canada?

Leo Wenje anatafuta nini Ulaya?

Leo Ngurumo anatafuta nini huko?


Watanzania tugutuke

Wanaogopa yasiwakute ya Mbowe
 
Mpuuzi wewe kila siku mnaenda kuomba misaada mbona hamsemi kama Tanzania ni nchi huru ijitengemee? acha wazungu watusaidie kunyoosha hawa watawala makatili wasiofaa mbele za MUNGU.
Sikubaliani na hoja yako labda utoe mifano hai.

Kama kuna kiongozi mwanasiasa KATILI nchi hii ni Freeman Mbowe, kwa kauli na matendo yake, kiasi amewaambukiza viongozi wanasiasa wa CHADEMA. Hiki chama kikipata kuongoza nchi hii, hakuna shaka kutakuwa na utawala wa kidikteta.

Ushahidi ni tangu kimeanzishwa kimekuwa kwenye mlengo wa kujali maslahi ya wao viongozi. Dai lao kubwa la Katiba mpya nyuma yake ni Katiba ya kuwawezesha kupata madaraka ya Dola kwa ajili ya agenda zao binafsi.

Mwenye hoja tofauti na hii yangu, atoe japo jambo moja tu la Kitaifa, ambalo Viongozi wa CHADEMA wamefanya tangu kianzishwe ama kwenye Kata (madiwani), Majimbo (Wabunge) au Halmashauri walizoziongoza.
 
Sikubaliani na hoja yako labda utoe mifano hai.

Kama kuna kiongozi mwanasiasa KATILI nchi hii ni Freeman Mbowe, kwa kauli na matendo yake, kiasi amewaambukiza viongozi wanasiasa wa CHADEMA. Hiki chama kikipata kuongoza nchi hii, hakuna shaka kutakuwa na utawala wa kidikteta.

Ushahidi ni tangu kimeanzishwa kimekuwa kwenye mlengo wa kujali maslahi ya wao viongozi. Dai lao kubwa la Katiba mpya nyuma yake ni Katiba ya kuwawezesha kupata madaraka ya Dola kwa ajili ya agenda zao binafsi.

Mwenye hoja tofauti na hii yangu, atoe japo jambo moja tu la Kitaifa, ambalo Viongozi wa CHADEMA wamefanya tangu kianzishwe ama kwenye Kata (madiwani), Majimbo (Wabunge) au Halmashauri walizoziongoza.
CCM imefanya nini tangu 1961?
 
Sorry unaongelea utawala wa sheria Africa? .huku tunaishi kama wanyama kwenye jungle . huku sheria zimewekwa kwa ajili ya watu flani tu nasi vinginevyo. Ndugai alimtandika mtu fimbo kwenye kampen hadi akazimia, ulisikia akikamatwa na polis. Uchagizi wa mwaka Jana uligubikwa na rushwa za wazi kabisa, taasis za kudhibiti hayo zikagwaya kisa wanao fanya hayo ni makada wa ccm. Mifano ni mingi inayo onyesha jinsi watawala na wana ccm wakikanyaga sheria bila kuchukuliwa hatua zozote.

Nani asiyejua jinsi polis wanavyo kesha Usk na mchana kudhofisha vyama vya upinzani hasa kile kinachokuwa na nguvu kwa kutumia kila hila ikiwemo ubambikiaji wa kesi. Kuna mlolongo wa matukio yanayo onyesha hata hiyo kesi nikesi ya mchongo.
Lengo ni kuidhofisha chadema , kwamba watumie mda mwingi kwenye kesi zisizo na mashiko washindwe kujenga chama huku ccm wakipata nafasi ya kupumua na kuimarisha chama chao.

Sheria zinafwata ulaya ambako hata rais anaweza shitakiwa. Afrika huku sheria zinatungwa lakini kajikundi kawatu kana jiwekea uzio hamna kushitakiwa hata wakivunja sheria huku wakibambiakia wengine kesi za uongo.


Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.

Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe



View attachment 2030228

View attachment 2030229
 
Hivi haiwezekani wachangiaji mada wakachangia bila matusi na name calling?
Watu wastaarabu huwa wanalumbana kwa nguvu za hoja ma sio hoja za nguvu na matusi.
Ukijadili hoja kwa feelings na sio logic na commonsense basi mwisho inakuwa matusi na kudhalilishana.
Tanzania ni yetu wote.Tupo kwenye mtumbwi mmoja pale kwenye changamoto na makosa tuelezane na kukosoana kwa hekima.
Napata tabu kuchangia mada ambazo mwisho wake ni matusi.
Tusiwe kama wapenzi wajinga wa Simba na Yanga.
Nobody is perfect.No society is perfect.Hakuna Nchi ambayo ni Utopia kama kitabu cha mwandishi Sir Thomas More kilivyojaribu kueleza kuhusu society ambayo ni Utopia.
Changamoto zetu ni nyingi tusipoteze muda.
 
Sorry unaongelea utawala wa sheria Africa? .huku tunaishi kama wanyama kwenye jungle . huku sheria zimewekwa kwa ajili ya watu flani tu nasi vinginevyo. Ndugai alimtandika mtu fimbo kwenye kampen hadi akazimia, ulisikia akikamatwa na polis. Uchagizi wa mwaka Jana uligubikwa na rushwa za wazi kabisa, taasis za kudhibiti hayo zikagwaya kisa wanao fanya hayo ni makada wa ccm. Mifano ni mingi inayo onyesha jinsi watawala na wana ccm wakikanyaga sheria bila kuchukuliwa hatua zozote.

Nani asiyejua jinsi polis wanavyo kesha Usk na mchana kudhofisha vyama vya upinzani hasa kile kinachokuwa na nguvu kwa kutumia kila hila ikiwemo ubambikiaji wa kesi. Kuna mlolongo wa matukio yanayo onyesha hata hiyo kesi nikesi ya mchongo.
Lengo ni kuidhofisha chadema , kwamba watumie mda mwingi kwenye kesi zisizo na mashiko washindwe kujenga chama huku ccm wakipata nafasi ya kupumua na kuimarisha chama chao.

Sheria zinafwata ulaya ambako hata rais anaweza shitakiwa. Afrika huku sheria zinatungwa lakini kajikundi kawatu kana jiwekea uzio hamna kushitakiwa hata wakivunja sheria huku wakibambiakia wengine kesi za uongo.
Unaongea nadharia sana Mkuu wangu,

Huona jema lolote Africa,

Wewe ni kibaraka aise
 
Back
Top Bottom