Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,329
- Thread starter
- #21
Hata sijui nichangie nini
Hahahahaaa!
Kiasi ushindwe na chakuchangia!
Coz you are the 1 among few men who have many likes!
...
Labda nikupe mwongozo!
Kuna ke ni hodari sana! But staki kuamini kama wanawazidi me! May be wako sawa! But likes zao ni nyingi mno!
Kuna wengine ukiona mada zinazohitaji ushauri, wanatoa pumba tupu! But still wanalikes nyingi tu!
Embu jaribu kuangalia thired zinazohitaji ushauri, angalia ushauri wa me then ke!
Nadhani umenisoma hapa!