mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Likes tunapata sababu tuna akili sana hasa katika kuchanganua mambo ya mmu huku..
kingine kuhusu REP POWER,mbona zimeongezeka hivyo faster faster utakua umehonga kwa MODS lol
Likes tunapata sababu tuna akili sana hasa katika kuchanganua mambo ya mmu huku..
its you and me,
Sangapi?
Sijui hata nina likes ngapi mie na wala sijui kama zinatoka kwa Me au kwa Ke.
Kukusaidia mtoa mada kuanzia leo mtu akinipa like nitammuliza sababu ya ku like,akijiuma uma nampa dakika 5 awe amesha unlike!!!!
Nimekulike kwasababu nakutamani sana na ninaka mpango ka kukutongoza.....lol!
Mbona hata like zako zimekuwa nyingi hadi nikiziona nakasirika au na wewe unanitamani.....lol!!
Sikujua unakasirika baba Paroko na wala sijawahi kukutamani huwa nalitamani hilo koti kwenye avatar tu! lol
Si useme tu ukweli bana?
Huwa kila siku unaota kunihifadhi hapo kati...looooooooooooooollllllll!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kitufe cha ku report abuse kiko wapi?
Unastahili ban kuanzia parokiani
Ninawajua sana nyie
Hapo unasema kuwa yaani "umejuaje?Asante sana"
Unabisha....?????????????????
Who run the world?