Mkuu nadhani umeamua kuchokoza majambo fulani.
Nadhani likes hutolewa kwa malengo tofauti mojawapo ni michango murua, siamini hata wangeongoza wanaume kingekuwa kigezo cha wao kuwa na akili. Kiasi kikubwa nikikupa likes nimevutiwa na mchango wako, cna muda wa kudowea mtu mtandaoni kupitia avatar na maandishi.
Nadhani likes hutolewa kwa malengo tofauti mojawapo ni michango murua, siamini hata wangeongoza wanaume kingekuwa kigezo cha wao kuwa na akili. Kiasi kikubwa nikikupa likes nimevutiwa na mchango wako, cna muda wa kudowea mtu mtandaoni kupitia avatar na maandishi.