Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Jamani jamani, baada ya kufanya engagement kuna hawa mabinti wawili hapa job wamenichunia, kila mmoja kwa wakati wake!! Sikuwahi kumtongoza hata mmoja kati yao! Zaidi ya kusalimiana tu na kushirikiana mambo ya kazi!!! Sasa sielewi sababu ya wao kuumia maskini... Mmoja nimeshawahi kumpa lift mara moja akienda kukutana na men wake! Tena nikampeleka hadi hoteli walimokutania!!
Sasa siwaelewi kwa nn wanichunie!!!
Sasa siwaelewi kwa nn wanichunie!!!