Mi nimetaja vitu muhimu, na financial security ni part of it.mmmh, kule vekeshi mlifadhiliwa?
mito umeelewa sahihi kabisa, ni kwamba wengi comments zetu zinaonyesha kuwa tutavumilia kwasababu ya fedha, but naomba nikuelimishe kidogo na kwa faida ya wanajamvi wengine, asikwambie mtu panapo mapenzi ya kweli hilo siyo tatizo kabisa.
sisemei ushabiki manake mimi ni miongoni mwa wanaopenda kufanya matusi kuliko mtu mwingine yeyote yule lakin ninachoangalia hapa ni nguvu ya penzi.Tujiulize mara nyingi sana mdada na mkaka tunategemea waoane wakiwa mabikira wote, so hakuna ajuaye kufanya, ama ajuaye mapungufu ya mwenzie katika maswala ya tendo la ndoa. Lakini upendo wa dhati usiokuwa na unafiki wala hila ndio uliokusukuma kuanzisha hayo mahusiano na umefika ndani umekuta kazi hamna je utafanyaje? utakimbia? utavumilia? ama utatafuta suluhisho la tatizo?
kwa mtu mwenye akili na busara always atatafuta suluhisho la tatizo na katika hali kama hii wote ni wazima ishu ni mpera tu basi tafuteni njia mbadala ya kuendeleza maisha na furaha yenu. wala ishu ya kutoka nje siyo tija sana humo humo ndani improvise vitu vingine kwa ajili ya kuwapeni raha. tana ikumbukwe mwaweza kuoana wote wazima na baada ya muda mmoja anaugua kazi inashindikana so ni busara zaid kujijengea desturi ya kuvumiliana na kutatua matatizo yenu wapenzi wawili pasi kushirikisha watu wa nje.
Mi nimetaja vitu muhimu, na financial security ni part of it.
By the way, nimeanza kutafuta na kazi kabisa huku huku
Hakuna dalili ya kurudi any soon... having so much fun! :A S wink:
Unawezaje kua lonely with so many people (ke na Me)?can i join you guys?
Hata kwa siku 2 tu, am lonely here.
Yani niache mapesa kisa dushelele??hapana sio mimi wa kaskazini labda!pesa kwanza dushelele baadae kha!