Kongosho umeona eeh! hapa kwa kuna mambo lukuki bana manake mechi hata za mchangani zinahusu na wengi tu wanaishi haya maisha. Kama una uhakika wa Total card worth 4mil, credit worth 10 ml per month, huku unavilla some where ya ukweli kids wana fun spot card na life insurance cards shida yanini kuangalia hayo ya abdalla kichwa wazi?priorities binafsi zina-matter, asitusemee kabisa.
Naolewa, siachiki, napiga mechi za mchangani tu, huku nalilia kwenye bangaloo na lambogin.
Chezeiya nimekulia tandale mlo mmoja kwa siku afu uniletee mambo ya abdala kichwa wazi? Ntamtumia hata Salumu makofia
Hivi mfano ukakutana na balaa hilo la jogoo kushindwa kuwika(naomba Mungu atuepushe) utamwacha mkeo?
Bora Kongosho amekua mkweli kidogo,lakini hivi kama mechi za mchangani no,utafanyaje shangazi Kongosho?
priorities binafsi zina-matter, asitusemee kabisa.
Naolewa, siachiki, napiga mechi za mchangani tu, huku nalilia kwenye bangaloo na lambogin.
Chezeiya nimekulia tandale mlo mmoja kwa siku afu uniletee mambo ya abdala kichwa wazi? Ntamtumia hata Salumu makofia
Swali hili nimepewa leo na dada ambae tunaishi nae hapa uswazi,ndo nikagundua kumbe wanawake wana mbwembwe nyiiiingi lakini mawazo yao ni hapoo! . . . . . . . . . . . . . . . .. . . . . . . . . . . . . . . . . . .Huyu dada nili muuliza;"Hivi nyie hasa mwanaume thamani yake kwenu ni nini?",ndipo akajibu;"Mengine hua ni mbwembwe tu,sijui hela,magari n.k,mambo yote dushelele a.k.a abudala kichwa wazi,kama unabisha mtafute mwanamke yoyote umwambie aolewe na tajiri ambae abudala wake hana hasira uone kama hataachika"! . . . . . . , . . .. . . .Mimi nimeamua kuwauliza nyinyi wanawake wa JF,eti utaachika?
Asilimia kubwa hata wakijitoa fahamu wanafata Dushelele tena lenye ufanisi mzuri, TATIZO JINGINE NI HILI: Kwenye PESA ufanisi wa dushelele ni 20% Kwenye HAKUNA ufanisi wa dushelele ni 80%
Oh! sorry sikujua kama nawe ni ndani ya kikosi cha kwanzaMmmh mkuu nitake radhi!
mito umeelewa sahihi kabisa, ni kwamba wengi comments zetu zinaonyesha kuwa tutavumilia kwasababu ya fedha, but naomba nikuelimishe kidogo na kwa faida ya wanajamvi wengine, asikwambie mtu panapo mapenzi ya kweli hilo siyo tatizo kabisa.Eiyer nilichogundua kutokana na comments za waliopita ni kwamba mwanamke hataachika kwa sababu kuna alternatives, lakini hizi alternatives zisingekuwepo inaonekana hakuna mwanamke ambaye anaweza kuolewa na mwanaume eti kwa sababu ana pesa wakati jogoo lake haliwiki. Wadada nisahihisheni kama nimewaelewa vibaya!
kwani huyu mume hana ulimi? Hana lips? Hana vidole, atatumia hata gunzi lol
mapenzi yangu kwa lambogini ni makubwa kuliko ya abdala kicha wazi, ndo maana nikasema nitatumia hata salum makofia.
Hiwezi ijua njaa kama hujawahi lala njaa, tena sasa hivi pale kinondoni zinaletwa toka Dubai akha na shida gani, tena naweza hata nunuliwa doll orijino from UK au USA.
Chezeiya pesa nyie? Muulizeni Yuda iskariot nguvu ya pesa.
Eiyer nilichogundua kutokana na comments za waliopita ni kwamba mwanamke hataachika kwa sababu kuna alternatives, lakini hizi alternatives zisingekuwepo inaonekana hakuna mwanamke ambaye anaweza kuolewa na mwanaume eti kwa sababu ana pesa wakati jogoo lake haliwiki. Wadada nisahihisheni kama nimewaelewa vibaya!
Mapenzi nayo vipi? maana anaweza kua na pesa,Naam,hatimae nguvu ya pesa inaonekana kwenye nyuso na maandiko ya wanawake!
Mapenzi nayo vipi? maana anaweza kua na pesa,
na hayo mengine akaweza, ila hana mapenzi kwangu
Mi nadhani ni combination ya vitu vingi, vyote muhimu
na vyote ni jukumu la couple, sio yeye tu, au mimi tu:
Financial security, love, support, sex, na mengine mengi