tena paka mweusi! kama una mdogo wako au sister wako nifanuie mpango! wapemba hawayawezi hayo! hayo yako mombasa banahh! hahaha!(MKUU IZI ZINGINE JOKES TU HUMU) USIZICHUKULIE KIIVO MKUU WANGU
nakuaminia mkuu wangu na mimi nimegundua kuwa ni jokes ndio maana nikawapiga dongo wapemba,ushasikia wapi mpemba anaitwa markj
humu jf! Haya ni majina tu, unaweza kuta markj kumbe ni anna kilango! Oooh
hahahahahahahh........akikusikia mwenyewe...............
aiseeee hiyo ni khatari hatari hizo mambo ni noma tusijaribu kabisa kwa sababu zifuatazo
ki biology; kuna bacterial ambao wanaishi mjini humo kazi zao ni kula mali zilizo kuwepo kurahisisha haja hivyo uki introduce hiyo dushelele yako huko unaweza kupata uti na maradhi mengine.
Ki dini; nathani hakuna dini inayo ruhusu mambo hizo japo hawa wenzetu wanataka kulihalalisha kidini zaidi. Tumuogope mungu jamani
Kwa maana ingine wakati wewe unampigia mahesabu ya kuufungua ukurasa baada ya ndoa mwenzako alishaufungua na kuuandikia ukajaa na kugeuza page kabisaaa (P.T.O)
mbona unashtuka ... n..kawaida tu ...
Mwanzoni nilisimuliwa na rafiki zangu lakini nikaona kama utani,lakini kwa sas imenitokea na nimeamini.
Ulikuwa ni wakati mzuri sana kwa sisi wapendanao wapya kufungua ukurasa mpya wa mapenzi kwa kukutana kimwili baada ya mbio ndefu za kuwinda,hayawi hayawi mwishowe yamekuwa mtot ndani ya himaya yangu;hatumwi mtu dukani hapo,si mchezo ukaanza mara hapa mara pale kama kawaida nikamaliza,baada ya kumaliza naona binti amebadilika kwa kununa,namuuliza kisa anasema hajaridhika,duuh uchangamfu unaisha,binti anafunguka anasema "MI SIRIDHIKI MPAKA UNINAHII NA HUKU NY**MA,haaaaaaa nilipgwa na mshangao kweli na niliona maajabu.Ndugu zangu hii tabia naona inakua kwa kasi kwelikweli,tatizo ni nini?vipi mnanishuri vipi juu ya huyu bi dada nimwage au niendelee naye?
Khaa! yaani umemaliza mchezo halafu unakuja kusikilizia jf!
Uamuzi unao mwenyewe na kama hilo jambo lilikukera au hukubaliani nalo ungekuwa umeshafanya uamuzi na hapa unatupa utekelezaji ili wengine wajifunze pindi wanapokutana na wa2 km hao.
afu ukimwangalia kwa muonekano unaweza sema hapo kijana dume umeopoa kumbe umelamba garasa...
Mwanzoni nilisimuliwa na rafiki zangu lakini nikaona kama utani,lakini kwa sas imenitokea na nimeamini.
Ulikuwa ni wakati mzuri sana kwa sisi wapendanao wapya kufungua ukurasa mpya wa mapenzi kwa kukutana kimwili baada ya mbio ndefu za kuwinda,hayawi hayawi mwishowe yamekuwa mtot ndani ya himaya yangu;hatumwi mtu dukani hapo,si mchezo ukaanza mara hapa mara pale kama kawaida nikamaliza,baada ya kumaliza naona binti amebadilika kwa kununa,namuuliza kisa anasema hajaridhika,duuh uchangamfu unaisha,binti anafunguka anasema "MI SIRIDHIKI MPAKA UNINAHII NA HUKU NY**MA,haaaaaaa nilipgwa na mshangao kweli na niliona maajabu.Ndugu zangu hii tabia naona inakua kwa kasi kwelikweli,tatizo ni nini?vipi mnanishuri vipi juu ya huyu bi dada nimwage au niendelee naye?