The bos
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 350
- 80
weka picha yako tuone..
Picha ya nn Mkuu tunazungumzia intellegency attributes in loving and relationship
weka picha yako tuone..
Hafu huyu so mtoto Wa rugemalila ni mume Wa yule jesca mtoto Wa rugemalila.kupotosha sio kuzur
we bwana mdogo ndio kusema unajifunza ku-quote?
Rihanna kwa kukaa kihasara hasara hajambo au ndio ana tutega?
Mvuto no keel anao lakin mvuto is one thing tu unless uniambie nawewe no wakuwaka tamaa chapachapaits not that either! its a state of balance and non expectation, its psychic energy, awareness, creation, feeling and not emotion..!! if you give urself away to another as u suggest, u are setting up to get hurt big time. No one wants a martyr loving them, its creepy. For me,huyu binti ana mvuto banaa..!!
Unafikir makumbusho unapoish hapa.heshima inastahil ichukue mkondo wake hata unadhan uko alone kwa chatting
Kama huwezi namna ya kutumia JF kaa kando kwanza ujifunze, sio una nukuu watu hovyo na kuwaunganisha na vitu ambavyo hawajaandika...
Hebu kuwa mstaarabu...
Rihana mwenyewe anaonekana kama haenjoy kuwa na huyo...Hata tabasamu hana, pili amekaa kama anamkwepa asimguse atamchafua....
Dogo bilionea huyo akose bilioni tatu au mbili na nusu na yuko na mjengo wa kufa mtu hapa Swiss
swissme:
na mzee kakaza hadi amechomoka..unaona jinsi maisha yalivyo ironic!...baba zao kijana huyu wanalazimika kutuibia ili watoto wao waweze kuishi maisha kama haya...
..amechomoka lakini hawezi kurudisha nyuma Maisha aliyopigwa miaka 4...na wala hamna hela itayalipa...ukute hata pressure kapata jela...na mzee kakaza hadi amechomoka
Hizi ndo bata
imepata joto inataka kufatuka.....Hiyo nyonyo ya kulia (kushoto kwa Rihana) hapo niaje...mbona kaa inataka kutoka vile.....