Realboynicky
Senior Member
- Mar 31, 2023
- 134
- 230
Bado sijaona wala kusikia Artist wa kike kumzidi Rihanna hakuna cha beyonce nicki minaj wala taylor swift. Wote hakuna anayeleta taste kama rihanna. Wakumzidi riri bado hajatokea.
Kufanya comparison ya Celine Dion na Rihana ni sawa na kumfananisha Remi Ongala na Diamond Platnums. Hao ni watu waliotamba ktk nyakati mbili za vizazi tofauti.Hata celin dion alkua wamoto hatar lakn saiv
Hujatulia ukamcheki vzr Zuchu weweBado sijaona wala kusikia Artist wa kike kumzidi Rihanna hakuna cha beyonce nicki minaj wala taylor swift. Wote hakuna anayeleta taste kama rihanna. Wakumzidi riri bado hajatokea.
Anaishi manzese sisi Kwa sisi bingwa WA visingeliHuyo Rihana nae anaishi huko daslam kwani??
Kama ni hivyo basi nayeye atakua anavaa vijra alafu anamwagia maji kabla ya kucheza singeli ndio maana mnamsifia...🤣Anaishi manzese sisi Kwa sisi bingwa WA visingeli
Taylor mwanzo alikuwa anaimba Country, ila 2014 akafanya transformation kwenda kwenye Pop kwa kutoa album ya 1989!Hivi huyo Taylor swift anaimba aina gani ya mziki maana sifahamu ngoma yake hata moja ila anasifiwa na wengi. Anaye jua hits zake hata 5 anifahamishe hapa chini ?
Mbona Taylor anawaacha mbali sana hao wote!Bado sijaona wala kusikia Artist wa kike kumzidi Rihanna hakuna cha beyonce nicki minaj wala taylor swift. Wote hakuna anayeleta taste kama rihanna. Wakumzidi riri bado hajatokea.
Huyu ndie msanii maarufu wa U.S.A nisie fahamu ngoma yake hata moja sijui kwa nini ?!.Taylor mwanzo alikuwa anaimba Country, ila 2014 akafanya transformation kwenda kwenye Pop kwa kutoa album ya 1989!
Ngoma zake kubwa ni pamoja na Blank Space, Shake it off, Cruel Summer, Style na ngoma ya karibuni inayofanya vizuri ni Anti-Hero toka kwenye Album ya Midnight aliyoitoa mwaka jana October!
Kifupi Taylor Wengi wanamconsider kama Music Industry, ameweza kuvunja records nyingi pamoja na kupata tuzo lukuki. Tour yake aliyoipa jina la Eras Tour imempa mafanikio makubwa huku mapato yake yakikadiriwa kufikia usd 1b na zaidi baada ya Tour kuisha.
Pia mpaka sasa ana monthly listeners takribani milion 101, huku akishika nafasi ya pili baada ya The Weeknd.
Taylor swift anamuacha mbali Rihanna ?Mbona Taylor anawaacha mbali sana hao wote!
doh , umbrella ,rude boy brings me childhood memories. Kipindi hicho nina ndoto kubwakubwa. Kweli miaka inakimbiaNgoma kali kutoka kwa Rihanna
- Fading
- Put it up
- Wild thoughts
- The monster
- Fly
- No love allowed
- Love the way you lie
- Man down
- Needed me
- What now
- What's my name
- Work
- Teamo
- Lemon
- Royalty
- Unfaithful
- Rehab
- We ride
- Live your life
- Run this town
- Talk that talk
- This is what you came for
- We found love
- Hate that I love you
- Bitch better have my money
- Umbrella
- Where have you been
- Rude boy
- Diamonds
- Stupid in love
Niendelee ? Rihanna ni Queen uzi ufungwe
Sasa yupo busy kuuza vipodozi mziki kawaachia wengine.doh , umbrella ,rude boy brings me childhood memories. Kipindi hicho nina ndoto kubwakubwa. Kweli miaka inakimbia
Sasa uzi ufungwe na hujui hata ngoma moja ya TaylorNgoma kali kutoka kwa Rihanna
- Fading
- Put it up
- Wild thoughts
- The monster
- Fly
- No love allowed
- Love the way you lie
- Man down
- Needed me
- What now
- What's my name
- Work
- Teamo
- Lemon
- Royalty
- Unfaithful
- Rehab
- We ride
- Live your life
- Run this town
- Talk that talk
- This is what you came for
- We found love
- Hate that I love you
- Bitch better have my money
- Umbrella
- Where have you been
- Rude boy
- Diamonds
- Stupid in love
Niendelee ? Rihanna ni Queen uzi ufungwe
Yah mbali sana, namba hazidanganyi!Taylor swift anamuacha mbali Rihanna ?
Huyo msanii wako dunia haiimtambui kwa mikwaju yake zaidi ya umaarufu wake huko U.SSasa uzi ufungwe na hujui hata ngoma moja ya Taylor
Jipe muda kumsikiliza utabadili hayo mawazo.
Wakali wapo wengi kuanzia akina Katy Perry, Demi Lovato, Ariana Grande kwa uchache.
Sema wabongo tumekariri akina Rihanna na Beyonce.