FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,800
Kwa nimetoka home tumezinguana kimtindo, niko misele baadae ndo anitumia sms kama hiyo hivi wana jf wenzangu mngekuwa nyinyi mngebeba hzo chips kwa style ya sms jaman mi binafsi sikubeba coz sizani kama ni busara kumtumia mume/mke sms ya namna hyo.
"Ulitaka akiwa na hamu ya "chips" amuagize jirani?