me niliambiwa kama hutojali njo unitoe mihemko yangu ili nilale..... asee nilichoka
Shauri yako kutaka kuvikuza vitu vidogo viwe vikubwa kuliko vinavyostahili, yeye kuzinguana kwenu hakuona kama ni tatizo kubwa kihivyo ndiyo maana mwenzio hakuona shida kukuandikia kukuomba chips.
Samahani mdau, hapo tatizo liko kwenye hayo maneno ya "if u dont mind" au?
Bifu za namna hii huwa zinasababu zingine ndani yake, wala sio hio sentensi nafikir.
Je msingekua mmegombana ungemind hio sentensi?
Mimi kwangu naiona sawa kabisa kukwambia hivyo. Dah wengine mnabahati na wake zenu. Mimi wangu aalikua ananuna tu hata hujui sababu na hasemi. Alishawahi nuna kwenye gari toka Mbeya hadi Tanga! Hehehehe!
Wewe hapo omba more instructions. Chipsi kuku, chips mishikaki au leo unataka chips kavu baby? Kama huna salio kwene simu yako wewe chukua chips mayai, robo kuku na mishikaki mitatu. Mpelekee then tabasamu. Kununiana ndani kwani ni deal basi mpwa. Kesho ndoo umwambie baby namna yako ya kuomba chips jana sikuipenda
ningesimamisha gari pale Wami nimpe vibao vya kutosha na kulivyo kimya sijui nani angemuamulia, afu namwacha aje kwa njiia anayoijua yeyeSamahani mdau, hapo tatizo liko kwenye hayo maneno ya "if u dont mind" au?
Bifu za namna hii huwa zinasababu zingine ndani yake, wala sio hio sentensi nafikir.
Je msingekua mmegombana ungemind hio sentensi?
Mimi kwangu naiona sawa kabisa kukwambia hivyo. Dah wengine mnabahati na wake zenu. Mimi wangu aalikua ananuna tu hata hujui sababu na hasemi. Alishawahi nuna kwenye gari toka Mbeya hadi Tanga! Hehehehe!
Mdau anajuaga mwenyewe huwa nampelekeaga chips gani
Kwa nimetoka home tumezinguana kimtindo, niko misele baadae ndo anitumia sms kama hiyo hivi wana jf wenzangu mngekuwa nyinyi mngebeba hzo chips kwa style ya sms jaman mi binafsi sikubeba coz sizani kama ni busara kumtumia mume/mke sms ya namna hyo.
Wewe hapo omba more instructions. Chipsi kuku, chips mishikaki au leo unataka chips kavu baby? Kama huna salio kwene simu yako wewe chukua chips mayai, robo kuku na mishikaki mitatu. Mpelekee then tabasamu. Kununiana ndani kwani ni deal basi mpwa. Kesho ndoo umwambie baby namna yako ya kuomba chips jana sikuipenda
me niliambiwa kama hutojali njo unitoe mihemko yangu ili nilale..... asee nilichoka
Hahaha.....Ha ha ha unanuniwa toka Mbeya hadi Tanga...lol...
Mume wangu anuniwi...nikinuna tu ana pretend kuugua ghafla...
Naamini ni ku pretend maana mtu huwezi kuumwa ghafla pindi ukikwaruzana na mtu...
Kuna siku alibugia chupa nzima ya wine akaanza kutapika ...mgonjwa tayari...