Eti mkeo anatuma ku sms " if u don't mind niletee chips"

Eti mkeo anatuma ku sms " if u don't mind niletee chips"

kzba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,355
Reaction score
793
Kwa nimetoka home tumezinguana kimtindo, niko misele baadae ndo anitumia sms kama hiyo hivi wana jf wenzangu mngekuwa nyinyi mngebeba hzo chips kwa style ya sms jaman mi binafsi sikubeba coz sizani kama ni busara kumtumia mume/mke sms ya namna hyo.
 
Kwa nimetoka home tumezinguana kimtindo, niko misele baadae ndo anitumia sms kama hiyo hivi wana jf wenzangu mngekuwa nyinyi mngebeba hzo chips kwa style ya sms jaman mi binafsi sikubeba coz sizani kama ni busara kumtumia mume/mke sms ya namna hyo.

na wewe ungemwambia if u don't mind leo usiku unipe papuchi.
 
hahahahha.jmn.don't take life too seriously weyee..mbebee wife kiepe ale alale.
 
Ndiyo mapenzi yenyewe hayo bhanaa, sasa asipokuomba wewe mumewe umpelekee chips amuombe nani!? Sioni ubaya wowote wa yeye kuomba akitakacho kupitia sms. Acha hizooo!!!

Kwa nimetoka home tumezinguana kimtindo, niko misele baadae ndo anitumia sms kama hiyo hivi wana jf wenzangu mngekuwa nyinyi mngebeba hzo chips kwa style ya sms jaman mi binafsi sikubeba coz sizani kama ni busara kumtumia mume/mke sms ya namna hyo.
 
Mpelekee. Anatafuta sare/suluhu ya njaa na ugomvi wenu kwa mpigo. ...''na uishi naye kwa akili''
 
Kwa nimetoka home tumezinguana kimtindo, niko misele baadae ndo anitumia sms kama hiyo hivi wana jf wenzangu mngekuwa nyinyi mngebeba hzo chips kwa style ya sms jaman mi binafsi sikubeba coz sizani kama ni busara kumtumia mume/mke sms ya namna hyo.
heshima yake mbovuuu
 
Ndiyo mapenzi yenyewe hayo bhanaa, sasa asipokuomba wewe mumewe umpelekee chips amuombe nani!? Sioni ubaya wowote wa yeye kuomba akitakacho kupitia sms. Acha hizooo!!!


Hapana mdau atazoea mwache ahesabu kenchi kwanza leo ashike adabu
 
Shauri yako kutaka kuvikuza vitu vidogo viwe vikubwa kuliko vinavyostahili, yeye kuzinguana kwenu hakuona kama ni tatizo kubwa kihivyo ndiyo maana mwenzio hakuona shida kukuandikia kukuomba chips.

Hapana mdau atazoea mwache ahesabu kenchi kwanza leo ashike adabu
 
Utakuwa na roho ngumu...unaweza kweli kumkatalia mkeo kitu kidogo kama chipsi? hata kama mmenuniana...
Mi nkinuna afu nikaomba kitu hubby mbona atafurahi maana atajua ugomvi kwishney....

Kanikwaza mdau hv kweli we unaweza kutuma sms kama hyo kwa mwenza wako kweli hata kama mmezinguana jaman
 
me niliambiwa kama hutojali njo unitoe mihemko yangu ili nilale..... asee nilichoka
 
Samahani mdau, hapo tatizo liko kwenye hayo maneno ya "if u dont mind" au?
Bifu za namna hii huwa zinasababu zingine ndani yake, wala sio hio sentensi nafikir.
Je msingekua mmegombana ungemind hio sentensi?
Mimi kwangu naiona sawa kabisa kukwambia hivyo. Dah wengine mnabahati na wake zenu. Mimi wangu aalikua ananuna tu hata hujui sababu na hasemi. Alishawahi nuna kwenye gari toka Mbeya hadi Tanga! Hehehehe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom