bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Huyo keshajua michezo yako hapo mtaani, ndio maana kakushtukia mapema
Hahahahaha jamani nilikuwa sijacheka tokea asubuhi lakini kwa hili nacheka kikwetu uwiiiiiiiii
Huyo keshajua michezo yako hapo mtaani, ndio maana kakushtukia mapema
hapo magwiji wanangukiaga kwenye namba 3 ,shabashiiiii!Dah..dont tell me hujui kuna mazoba na mazombie....Ni wale ATMs..Baadhi ya wanawake huwa wanakuwa na wanaume kam 3 au 4..
1.. Sharobaro aka handsome muuza sura wa kujidai
2.. Atm aka provider aka mgodi
3.. Wa kumfikisha
4..Wa future kama kuoana nk
5 ...Kuna wengine wanao wa akiba kama plans nyingine zikifeli
Mkuu niombe Radhi, mimi naishi kama nabii hapa mtaani.
Points zako ni za ukweli, lakini naomba unieleweshe hapo kwenye red.My hubby wangu Eiyer, kuchezewa kunakujaje, unapomuahidi mdada kuwa utamuoa (umemu-engage so umemfunga) na ukamuomba mfanye mapenzi (yeye akiwa hajaridhia) na akakubali kwa kuwa utamuoa; wakati from the very beginning unajua hutamuoa na kuja kumtelekeza baadaye. Huyo dada ana haki ya kusema amechezewa.
Kosa la huyo dada ni kutosimamia imani yake, kumbuka hakuwa radhi kufanya mapenzi ni umemshawishi kwa ahadi!
Lakini kwa scenario nyingine ambapo, mmepenndana na mdada na wote mmeridhia kufanya mapenzi na kwenye course ya mapenzi yenu mkaahidiana kuoana. Ukija kuacha kumuoa, au naye akibadili mtazamo mnakuwa mmepotezeana muda (kwani kutengeneza uchumba takes time), na hakuna mtu kamchezea mwenzake.
Wadada wengi huangukia kwenye kundi hilo la pili, lakini as you say wanasema wamechezewa which is very wrong IMO; na kama alivyoshauri Zion Daughter kwenye uzi wake; kama wewe uko kwenye kundi la kwanza, dont give in (sex wise) kwa expectation za kuolewa. Ila kama unataka sex (uko kwenye kundi la pili) jua kuna kuolewa au kutoolewa, l am sure kuna wadada wengi tu wanawaacha wachumba zao (mifano mingi humu JF) mbona wanaume hawalalamiki kuchezewa?
BTW mimi nimechezea wa kutosha tu labda pengine wa kuzidi! LOL
Hapana mkuu, ndio maana nimemshangaa, huu ni mwezi wa 8 sasa yaani hata
Approaching sijaifanya.
Mkuu na wewe niombe radhi, mimi nilikuwa namuitaunaweza ishi kama nabii ambaye hukubaliki kwenu pole yako kashtukia kamchezo kako kumbe ndio kazi yako eeee sasa uliuwa unamwitia nini dada wawatu sema hapa sasa ,eti umuulize kitu hahahahah kakustukia we ni jimbi changa halipikiki halipakuliki helooooooooo
Mkuu niombe Radhi, mimi naishi kama nabii hapa mtaani.
...........Hapana mkuu, ndio maana nimemshangaa, huu ni mwezi wa 8 sasa yaani hata
Approaching sijaifanya.