Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Hawa jama wachora katuni mawazo yao huwa ayaishii pale pua zao ziishiapo, ni viona mbali vyenye uwezo mkubwa sana ambavyo kama jamii tungekuwa mbali tungevitumia iapswavyo.Jamaa kafikiria mbali sana
Kwa hisani ya watu wa marekani tutajifunza lugha yetu.
Lake Nyanza.ziwa victoria ni jina alilotoa mzungu ingawa lipo hapa tz na lilikuwa na jina lake(silikumbuki)
sijaelewa. hii mada nimeisoma ktk hoja mchanganyiko na mleteji akiwa lizzy, so hapa mada ni hiyohiyo mleteji mwingine .............. msaada tutani wadau......?