Eti jamani urembo wa mwanamke unachangia kunogesha tendo?

Mimi Sina makuu, Menginge yote
83215066_191375652046278_2873985696974006844_n.jpg
yanipite huwa siangalii sura, Ila napenda Witirii, (Kukanda ngano) balaaah.
 
Wanawake wote ni sawa hata akiwa fimbo ,kitu muhimu ni macho na ubongo, unamuwazia Nini huyo mwanamke ,
Atakuwa mzuri tu.

Ila sisi wanaume tuna dhambi sana unaweza ukaasehemu ukamvua mwanamke nguo kwa macho tu na ukaanza kuhisi unatafuna papuchi .
Nyeto inakuhusu mkuu
 
Mrembo ni show off,watu wakuone una pisi Kali au kama mkizaa watoto wanakua na muonekano mzuri,lakini kwa habari ya mechi hawa ambao sura walifanana na babu zao waliopigana vita vya pili vya dunia wako vizuri usipime,wanajituma sana na hawana mapozi mara hiyo staili nimechoka au bado hujakojoa tuu hiyo hakunaga,Huwa nawashangaa wanaobabaika na aina ya wanawake kama Wema au Wolper wakati vibinti bei chee vitamu na vinajituma balaa halafu bili ndogo tatizo huwezi kuongozana nao mmshikana mikono ni kuwapa ramani tu ya eneo la tukio na usishangae ni wazuri kwa kuwahi pia,Noma ni kuwa huwezi kuwatambulisha kwa kuvimba au kupiga nao picha.
 
Wala mwanamke mzuri wa tendo ni yule anayejua kuzungusha kiuno kama gurudmu la harrier
 
Kwenye kugegeda cha muhimu ni hisia, huo urembo hauhusiki kabisa. Urembo unaishia huko kwenye outing, chumbani tunashughulika na hisia tu
 
Kikubwa Ni mashine engine, wengine Ni warembo haswa ila mileage Sasa km 250,000 na chini kwa baridi wakati wengine sura ya baba ila mileage ni km 40,000 na full joto na ushirikiano 💯.
 
kinogesho cha mchezo ni hisia, means vile unamfeel mwenza wako bila kujali uzuri wake ndo maana watu huacha wake wake zao wazuri na kuchepuka na ke wakawaida tena wakainjoi game zaidi.
 
Back
Top Bottom