ndenga JF-Expert Member Dec 20, 2010 1,786 1,295 Oct 26, 2012 #4 soo sad, nikiona mdada amelewa inaniuma zaidi kuliko wengine wakilewa..
WamLola JF-Expert Member Aug 12, 2012 343 122 Oct 26, 2012 #5 maisha gani haya kweli kwa hali hii vvu itakoma@@@@@@@@@@:target:
M mzabzab JF-Expert Member Aug 18, 2011 33,993 61,049 Oct 26, 2012 #6 alafu hapo ndio wakati mzuri wakumlambisa dushelele
Mkuu rombo JF-Expert Member Oct 18, 2012 1,556 422 Oct 26, 2012 #7 mzabzab said: alafu hapo ndio wakati mzuri wakumlambisa dushelele Click to expand... makubwa!!!!!!!!!!!!!
mzabzab said: alafu hapo ndio wakati mzuri wakumlambisa dushelele Click to expand... makubwa!!!!!!!!!!!!!
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,881 1,124 Oct 26, 2012 #8 ungeonyesha full mpaka chioni unawezakuta chini yupo empty na masela wameshamaliza.
N NnyaMbwate JF-Expert Member Nov 3, 2010 1,678 1,204 Oct 26, 2012 #9 Nadhani ni mjukuu wa Mzee wa Kiraracha!
The Don JF-Expert Member Dec 2, 2011 3,499 1,163 Oct 26, 2012 #10 Daah mbona anaacha juice inamwagika bwana,ngoja nilete kikombe cha kukingia
K kigoda JF-Expert Member Oct 15, 2012 1,781 356 Oct 26, 2012 #11 Valuu bila kutanguliza kitimoto ni mbaya sana.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,207 128,006 Oct 27, 2012 #12 Sister duh kasonga ugali m'bichi!! Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mkereketwa_Huyu JF-Expert Member Feb 19, 2011 9,178 6,305 Oct 27, 2012 #13 Kizazi cha bongo fleva kinasikitisha sana. Mungu awalinde tu for they are lost in transition ya reality na ujinga.
Kizazi cha bongo fleva kinasikitisha sana. Mungu awalinde tu for they are lost in transition ya reality na ujinga.
Janjaweed JF-Expert Member Jan 20, 2010 13,157 10,654 Oct 27, 2012 #14 Mbuzi Mzee said: Click to expand... hahahahaaaaaaaa balaa hii usiombe, halafu ukute anakoroma na mashuzi juu
Mbuzi Mzee said: Click to expand... hahahahaaaaaaaa balaa hii usiombe, halafu ukute anakoroma na mashuzi juu
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,141 13,215 Oct 27, 2012 #15 Yaani sikukuu yote hii kagonga MLENDA?
M Mea2 Member Sep 5, 2012 98 16 Oct 27, 2012 #16 waone tu watu wamependeza barabarani waangalie wakiwa wamelala ni kichekesho
Mwanahisa JF-Expert Member Jun 29, 2012 1,382 510 Oct 27, 2012 #17 Hii tabia ya kusifia uzuri wa kitabu kwa kigezo cha gamba lake!
V Vonix JF-Expert Member Apr 23, 2011 2,882 1,436 Oct 27, 2012 #20 Teh,teh,teh,teh..chezea pombe weyee,nani alishakwambia pombe inakamiwa?????matokeo yake ndio hayo,sidhani kama hapo chini pamepona.
Teh,teh,teh,teh..chezea pombe weyee,nani alishakwambia pombe inakamiwa?????matokeo yake ndio hayo,sidhani kama hapo chini pamepona.