Eti huyu ni Sista Duuh

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
404657_533252193370893_1642529813_n.jpg
 
soo sad, nikiona mdada amelewa inaniuma zaidi kuliko wengine wakilewa..
 
Daah mbona anaacha juice inamwagika bwana,ngoja nilete kikombe cha kukingia
 
Kizazi cha bongo fleva kinasikitisha sana. Mungu awalinde tu for they are lost in transition ya reality na ujinga.
 
Teh,teh,teh,teh..chezea pombe weyee,nani alishakwambia pombe inakamiwa?????matokeo yake ndio hayo,sidhani kama hapo chini pamepona.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom