You didn't get my point.Miaka hiyo ilikuwa hauendi chuo kikuu direct kutoka jkt hata kama umefaulu vipi nadhani waliokuwa wanaruhusiwa direct waliokuwa wanaenda SUA
You didn't get my point.Miaka hiyo ilikuwa hauendi chuo kikuu direct kutoka jkt hata kama umefaulu vipi nadhani waliokuwa wanaruhusiwa direct waliokuwa wanaenda SUA
Usishangae pia na sifa nyingine ya nafasi hiyo ilikuwa ni weupe wake. Bongo hakuna kinachoshindikana.1.Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .
2.wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari
3.Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi
4.Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses
5.Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi bange mnavutiaga wapi jaman na mm nataka kujaribu..Akiamka na kukanusha?
Kama haujui hata zinapopatikana tu,kuvuta utaweza?Wewe endelea kuvuta majani ya mpapai.Hizi bange mnavutiaga wapi jaman na mm nataka kujaribu..
Huna haja ya kusema sorry, ni maoni yako, yaheshimiwe.Ujasusi wake uliisaidiaje bongo? Kuondoa umaskini, ufisadi, ujinga, ushamba wa viongozi, ulimbukeni wa viongozi na maradhi?
Mi sioni faida yake! Mi naona ni wale wale tu ukoo wa panya! Sorry guys.
Hakudhalilika, kushindwa uchaguzi sio kudhalilika badili mindset yako kijana.Jasusi gani? Alikuwa tu Tiss kama Tiss wengine. Jasusi anaenda aibika na chama cha mchongo anatoka ccm. Anadhalilika tu eti atashinda dk ya 90
Hawezi kuamka, amelala umauti.Akiamka na kukanusha?
Dogo Kama wewe na yeye hakuona amejidhalilisha basi hakuwa na akili kabisa za kijasusi. Kuna kushindwa na kudhalilika. Kifupi ni kuwa katika medani ya Siasa hakuwa na mvuto.alikuwa mweupe sana kichwani.Hakudhalilika, kushindwa uchaguzi sio kudhalilika badili mindset yako kijana.
Kua na nidhamu kijana sio kila mtu ni dogo.Dogo Kama wewe na yeye hakuona amejidhalilisha basi hakuwa na akili kabisa za kijasusi. Kuna kushindwa na kudhalilika. Kifupi ni kuwa katika medani ya Siasa hakuwa na mvuto.alikuwa mweupe sana kichwani.
Usishangae pia na sifa nyingine ya nafasi hiyo ilikuwa ni weupe wake. Bongo hakuna kinachoshindikana.
Baba yake alikuwa.....muwindaji mkali sana alimfundisha sana matumizi ya silaha za kuwindia ndio alipopata uwezo shabaha ....na ujasiri1. Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .
2. Wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari
3. Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi
4. Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses
5. Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P. MEMBE wazuri hawafi1. Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .
2. Wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari
3. Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi
4. Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses
5. Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa za kuajiriwa TISS ni zipi ili tulinganishe na tuone kama alistahili au alipendelewa1. Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .
2. Wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari
3. Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi
4. Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses
5. Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
3. Ushawishi ni uongo. Membe hakuwa na ushawishi labda kudanganya. Katika watu ambao hawakuwa na mvuto katika Urais ni pamoja na Membe.
4. Kuficha hasira nakataa.... Alikuwa anaropoka na kuonesha hisia. Alisema ana maadui ambao siku akichukua nchi wahame.
5. kuna jamaaa zangu wana uwezo huo pia wala si kitu kikuuuuuubwa cha kutisha
Dogo nikuambie kitu? Membe hajawahi kuwa giant wa kisiasa hapa Tanzania.Kua na nidhamu kijana sio kila mtu ni dogo.
Hakujidhalilisha, mpama pale alipofikia alikua ni giant wa siasa nchini.
Ni maamuzi mazito mno kuyachukua kwa wakati ule na mtu kama yeye na kwa heshima aliyokua nayo kwenye chama tawala.
Ni wachache wenye huo uthubutu.
Mkuu Membe si alisoma Namupa Seminary huko huko Lindi?Ni kweli
Yeye na Dr Slaa Waseminari wa Itaga
Kanisa Moja Takatifu la Mitume!
Mamlaka zetu zinakuchagua sababu wewe ni mwanaccm mzuri na una mtu wa kukuweka pale ulipoSidhani ushawishi unaongelewa hapa ni ushawishi wa kisiasa, ni deception kwenye field work. Kazi ya ujasusi ni science ya usaliti. twisting realities upate unachokitaka.
Unaweza kuwa mzuri huko lakini kwenye siasa ukawa 0
Kuna sababu why mamlaka zilimchagua