Eti hizi ndio sifa 5 zilimfanya Membe apewe ajira TISS

1.Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .

2.wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari

3.Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi

4.Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses

5.Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Usishangae pia na sifa nyingine ya nafasi hiyo ilikuwa ni weupe wake. Bongo hakuna kinachoshindikana.
 
Ujasusi wake uliisaidiaje bongo? Kuondoa umaskini, ufisadi, ujinga, ushamba wa viongozi, ulimbukeni wa viongozi na maradhi?

Mi sioni faida yake! Mi naona ni wale wale tu ukoo wa panya! Sorry guys.
Huna haja ya kusema sorry, ni maoni yako, yaheshimiwe.
Kujua ujasusi wake ulisaidiaje bongo, ishu ya ujasusi hapa kwetu waijuao ni wachache huku sie twapata fununu tu.

Ila kwa hizo fununu tupatazo Membe amekua na mchango mkubwa hasa alipokua waziri kwenye serikali ya Jakaya.
Tanzania iliheshimika kimataifa.

RIP kamanda Membe.
 
Dogo Kama wewe na yeye hakuona amejidhalilisha basi hakuwa na akili kabisa za kijasusi. Kuna kushindwa na kudhalilika. Kifupi ni kuwa katika medani ya Siasa hakuwa na mvuto.alikuwa mweupe sana kichwani.
Kua na nidhamu kijana sio kila mtu ni dogo.

Hakujidhalilisha, mpama pale alipofikia alikua ni giant wa siasa nchini.
Ni maamuzi mazito mno kuyachukua kwa wakati ule na mtu kama yeye na kwa heshima aliyokua nayo kwenye chama tawala.
Ni wachache wenye huo uthubutu.
 
Usishangae pia na sifa nyingine ya nafasi hiyo ilikuwa ni weupe wake. Bongo hakuna kinachoshindikana.

Kuna huo uwezekano.

Haikuwa rasmi lakini nashuku hii ilikuwa moja ya sifa za kuingia kwenye baadhi ya vyombo vyetu vya dola.

Hasa majeshi yetu.

With some exceptions of course.
 
1. Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .

2. Wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari

3. Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi

4. Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses

5. Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yake alikuwa.....muwindaji mkali sana alimfundisha sana matumizi ya silaha za kuwindia ndio alipopata uwezo shabaha ....na ujasiri
 
1. Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .

2. Wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari

3. Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi

4. Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses

5. Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P. MEMBE wazuri hawafi
 
1. Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .

2. Wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari

3. Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi

4. Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses

5. Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa za kuajiriwa TISS ni zipi ili tulinganishe na tuone kama alistahili au alipendelewa
Vinginevyo ungekaa kimya ungeonekana mtu mwenye akili kuliko huku kubwabwaja unakofanya hapa
 
3. Ushawishi ni uongo. Membe hakuwa na ushawishi labda kudanganya. Katika watu ambao hawakuwa na mvuto katika Urais ni pamoja na Membe.

4. Kuficha hasira nakataa.... Alikuwa anaropoka na kuonesha hisia. Alisema ana maadui ambao siku akichukua nchi wahame.

5. kuna jamaaa zangu wana uwezo huo pia wala si kitu kikuuuuuubwa cha kutisha

Sidhani ushawishi unaongelewa hapa ni ushawishi wa kisiasa, ni deception kwenye field work. Kazi ya ujasusi ni science ya usaliti. twisting realities upate unachokitaka.
Unaweza kuwa mzuri huko lakini kwenye siasa ukawa 0

Kuna sababu why mamlaka zilimchagua
 
Kua na nidhamu kijana sio kila mtu ni dogo.

Hakujidhalilisha, mpama pale alipofikia alikua ni giant wa siasa nchini.
Ni maamuzi mazito mno kuyachukua kwa wakati ule na mtu kama yeye na kwa heshima aliyokua nayo kwenye chama tawala.
Ni wachache wenye huo uthubutu.
Dogo nikuambie kitu? Membe hajawahi kuwa giant wa kisiasa hapa Tanzania.
 
Sidhani ushawishi unaongelewa hapa ni ushawishi wa kisiasa, ni deception kwenye field work. Kazi ya ujasusi ni science ya usaliti. twisting realities upate unachokitaka.
Unaweza kuwa mzuri huko lakini kwenye siasa ukawa 0

Kuna sababu why mamlaka zilimchagua
Mamlaka zetu zinakuchagua sababu wewe ni mwanaccm mzuri na una mtu wa kukuweka pale ulipo
 
Back
Top Bottom