Hilo halina ubishi, ninachopinga ni upotoshaji wako kuhusu ufaulu wa membe high school.Kama hujui walimu wengi wapo huko KUANDAA waajiriwa wa kesho
USSR
Hilo halina ubishi, ninachopinga ni upotoshaji wako kuhusu ufaulu wa membe high school.Kama hujui walimu wengi wapo huko KUANDAA waajiriwa wa kesho
USSR
3. Ushawishi ni uongo. Membe hakuwa na ushawishi labda kudanganya. Katika watu ambao hawakuwa na mvuto katika Urais ni pamoja na Membe.1.Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .
2.wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari
3.Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi
4.Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses
5.Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unataka kulinganisha na ufaulu wa siku hizi wa uongo uongoHilo halina ubishi, ninachopinga ni upotoshaji wako kuhusu ufaulu wa membe high school.
Wanaweza wakawa nao ila hawapo kwenye rada za TISS3. Ushawishi ni uongo. Membe hakuwa na ushawishi labda kudanganya. Katika watu ambao hawakuwa na mvuto katika Urais ni pamoja na Membe.
4. Kuficha hasira nakataa.... Alikuwa anaropoka na kuonesha hisia. Alisema ana maadui ambao siku akichukua nchi wahame.
5. kuna jamaaa zangu wana uwezo huo pia wala si kitu kikuuuuuubwa cha kutisha
Mwacheni baba yetu apumzike jamani1.Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .
2.wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari
3.Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi
4.Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses
5.Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameen 🙏🏽MWENYEZI MUNGU amlaze mahali pema peponi na kumwangazia mwanga wa Milele.
Kafanya kazi gani Hadi apumzike wanaopelekewa moto ni mbwa wake walioachwa hai kama nepi na uso fenesiMwacheni baba yetu apumzike jamani
Kauli mbaya sana. Tuhurumieni wafiwa jamani, Mh. Membe ana familia na ndugu na jamaa. Tumuache apumzike kwa amaniKafanya kazi gani Hadi apumzike wanaopelekewa moto ni mbwa wake walioachwa hai kama nepi na uso fenesi
Yaani sifa Hadi za kunywa pombe zimempa mtu nafasi TISS? basi nina jirani yangu wanapaswa wamfanye boss wa TISS kabisa, maana leo ni siku ya nne amelewa1.Akiwa JKT alikuwa na uwezo mkubwa wa shabaha tena kwa kutumia mikono yote miwili akiweka bunduki kulia na kutumia mkono wa kulia kuvuta trigger au kushoto na kulenga kwa kiwango kike kike kuvuta trigger na kulenga kwa uwezo ule ule .
2.wakati akijiunga JKT alikuwa na mkanda mweusi kama ule wa Rais Putin ambao alijifunza mapigano akiwa seminari
3.Alikuwa na uwezo mkubwa wa kudanganya na kujiamini sana mkimsikiliza lazima ikubali kumbe wapi ,aliweza kudanganya (nguvu ya ushawishi) bila kubainika ,hii ni moja ya sifa kuu ya jasusi
4.Alikuwa na uwezo wa kuficha hasira zake hata kama anapitia mateso makali au stresses
5.Ukiacha kufaulu sana shule hasa ya high school pia aliweza kunywa pombe kiwango chochote bila kulewa wala kuyumba na kukumbuka nini amesema na nini aliambiwa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yako aliyepumzika alifanya kazi gani ya maana kwa hii nchi zaidi ya kuuza ....?Kafanya kazi gani Hadi apumzike wanaopelekewa moto ni mbwa wake walioachwa hai kama nepi na uso fenesi
So siyo ya maana. Ni sifa za kijinga
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani sifa Hadi za kunywa pombe zimempa mtu nafasi TISS? basi nina jirani yangu wanapaswa wamfanye boss wa TISS kabisa, maana leo ni siku ya nne amelewa
Jasusi gani? Alikuwa tu Tiss kama Tiss wengine. Jasusi anaenda aibika na chama cha mchongo anatoka ccm. Anadhalilika tu eti atashinda dk ya 90RIP kamanda Membe hakika alikua jasusi jasiri.
Hujaweka namba ya simu.MWENYEZI MUNGU amlaze mahali pema peponi na kumwangazia mwanga wa Milele.
Diploma au advance diploma?Ufaulu wa membe high school ulikuwa hafifu sana, akakosa sifa ya kusoma chuo kikuu.
Ilibidi asome diploma ya ualimu kwanza ndipo baadaye akajiunga na chuo kikuu.
We know what you don't know.
Advance diploma ndio nini?!Diploma au advance diploma?
Ya niniHujaweka namba ya simu.