OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,234
- 103,867
Umenichekesha kinyamaThis is too much mods ingilieni kati
Umenichekesha kinyamaThis is too much mods ingilieni kati
Hata hizo nyingi mnoAngalau hata dola elfu 60
we ni wa maswa?Niliwahi kuona jamaa mmoja anapita nalo Maswa.
Naam mkuu.we ni wa maswa?
sehem gani mkuuNaam mkuu.
Wewe uko wapi nikutafute mimi.sehem gani mkuu
Wewe uko wapi nikutafute mimi.
Kuna wakati huwa napita Knightsbridge na kuona super rich kids of Middle East wanavyoringisha magari ya kifahari
Yaani utajua kweli watu wapo tofauti
Mwingine kubadilisha oil kwa $21,000 kwenye Bugatti ni kama mwingine mwenye bajaj
Yaani wazungu akizeeka ndio anaendesha sports car kwa sababu kabaki peke yake na ana enjoy pension, lakini vijana hao wanaanza opposite kabisa View attachment 937757
Niliwahi kuona jamaa mmoja anapita nalo Maswa.
Wewe muda huo ulikuwa unaelekea Nyegezi au Sengerema?Niliwahi kuona jamaa mmoja anapita nalo Maswa.
Ha ha ha watataka wakuchunguze kama wewe ni drug dealer ama?Hii ukimiliki hapa bongo jiwe ataumia sana. TRA wataulizwa kwann wamekuruhusu, pia ujiandae kuchunguzwa.
Mkuu acha kuendeshwa na mihemuko.Ila pia ikumbukwe kuna binadamu wengingine wengi zaidi ya asilimia 90 mlo wa uhakika kuupata ngumu. Hawa 1% percent hawajaligi kabisa. Kuna maduka uswis na Paris soksi tu euro 400. Saa ya mkononi euro elfu 30. Na bado masenge yananunu
Sasa mkuu unampangia mtu matumizi ya hela yake. Ni hao hao 1% ndio bado wanatusaidia. Sasa mtu aache kufurahia maisha eti abaki tu kusaidia watu tena wenye rasilimali za kutosha kabisa. Hata wewe na mimi na wengine wenye kipato bado hatuwasaidii wenzetu wenye mahitaji na tunapishana nao tu tunakwenda viti virefu na totoz.Ila pia ikumbukwe kuna binadamu wengingine wengi zaidi ya asilimia 90 mlo wa uhakika kuupata ngumu. Hawa 1% percent hawajaligi kabisa. Kuna maduka uswis na Paris soksi tu euro 400. Saa ya mkononi euro elfu 30. Na bado masenge yananunu
Mh siaminiRonaldo juzi kati kaingia mgahawani na demu wake akatumia millioni 79 za kibongo kwa muda wa nusu saa
Tena aliagiza mvinyo wenye thamani ya millioni 24.akanywa glass moja tu! Akauacha
Yaani hawa watu wana hela nyingi mpaka wameamua kufanya kufuru maana zinawakera mpaka basi!
wenyewe wanaitaga Ramadhan rush,yaani baada ya ramadhan wanaingiza matoy yao London kuja kusumbua,ni vuuuuuuummm vuum.Tena hao wanawapa taabu sana wale jamaa wa Parking kwani hayo magari huja na ndege na nwisho wa matanuzi hurudi na hayo magari yao kwao Saudia.
Yaani wamechoka kutoa tickets kwani namba za usajili si za UK.
Kuna sehemu ingine ya matanuzi kule Hide Park utayaona mengi tu na hata polisi hupiga nayo picha.
Watu wanajua kutumia madolali bhanaRonaldo juzi kati kaingia mgahawani na demu wake akatumia millioni 79 za kibongo kwa muda wa nusu saa
Tena aliagiza mvinyo wenye thamani ya millioni 24.akanywa glass moja tu! Akauacha
Yaani hawa watu wana hela nyingi mpaka wameamua kufanya kufuru maana zinawakera mpaka basi!
Hahahahaahahah duuh mtatuua na kicheko nyie watuThis is too much mods ingilieni kati
This is too much mods ingilieni kati
Kama zipi mkuu?Hilo gari sio la watu 2 tu huko nyuma huwa linaweza kukunjuka kukapatikana nafasi nyingine ya watu 3 na boot. Liko very automatic.Pia lina features nyingi tu ambazo magar mengi hayana.