engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Tanzania imekuwa ikitumia zaidi ya dola za kimarekani laki mbili na nusu kila mwaka, kwa ajili ya kuilipa nchi ya jirani ya Kenya ili kutumia mfumo wake wa utambuzi wa bidhaa wa barcodes, hali ambayo imeinufaisha sana nchi hiyo na kuifanya ionekane kwenye soko la kimataifa kuwa imeuza bidhaa nyingi zaidi.
Chanzo:ITV
https://www.facebook.com/photo.php?...01687051.60768.195736147204034&type=1&theater
Swali,Je hatuwezi kuwa na mfumo wetu wa utambuzi wa bidhaa wa barcodes?