Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,059
Dar kwema kabisa hongereni sana kwa barabara zenu za Maswa kubahatika kupitiwa na Porsche Carrera GT 2019 ModelSalama sana sijui huko Dar.
Dar kwema kabisa hongereni sana kwa barabara zenu za Maswa kubahatika kupitiwa na Porsche Carrera GT 2019 ModelSalama sana sijui huko Dar.
Dar kwema kabisa hongereni sana kwa barabara zenu za Maswa kubahatika kupitiwa na Porsche Carrera GT 2019 Model
Shows off×Wazeee hiyo ni ndinga ya shows off, siyo gari ya matumizi (siyo ya kusafirishia familia wala mizigo ya familia) kama unamtoko na upo na mtoto mkali pembeni inakuwa poa sana
Pia,wanaomiliki magari kama hayo ni mastaa wa mambele kama akina the late Paul Walker,Dan Trejo,Anold Shwaznigger,The Rock,Luda Chris,CR7 na wengineo...wanamiliki ndinga za bei kutokana na biashara zao pamoja na matangazo
Vilevile hayo magari huwa hawadumu nayo kwa muda mrefu kwa kuwa huwa wanawauzia watu wengine ambao wanatafuta umaarufu (kumbuka kuna watu wananunua mpaka chupi za mastaa kwa mamilioni ili wapate attention kwenye midia,siyo kwamba hawana chupi za kuvaa au hawawezi nunua chupi za bei ndogo....maisha hatuwezi kufanana)
Unashangaa hilo kuna kipindi John Terry aliwahi kumpa barmaid Milioni 20 za kibongo (kipu chenchi)Ronaldo juzi kati kaingia mgahawani na demu wake akatumia millioni 79 za kibongo kwa muda wa nusu saa
Tena aliagiza mvinyo wenye thamani ya millioni 24.akanywa glass moja tu! Akauacha
Yaani hawa watu wana hela nyingi mpaka wameamua kufanya kufuru maana zinawakera mpaka basi!
My car is like an elephant, the trunk in the front.Buti iko kwa mbele
Siyo matumizi mabaya ya ela wala kukosa hofu ya Mungu.Mzuqa,
Yani binadamu hapana.
Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
View attachment 937735
Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
View attachment 937736View attachment 937737
Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.
Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.
narumuk
Itabidi wawafungie taa za barabarani kama kule naniliu kuleAsante sana hata mimi nilishangaa kweli.
Igongwe na punda sio vigari vidogo.Itabidi wawafungie taa za barabarani kama kule naniliu kule
Kwanza kote ni kwa Wasukuma, sasa kwa motokari kali kama hiyo kwanini wasiweke trafick lights ili Porsche isije ikagongwa na vigari vya hovyohovyo
Ha ha ha haaaaaaThis is too much mods ingilieni kati
Si afadhali hata nikanunue baiskeli kama ya Komred Kipepe au mtungi kama wa Lodi Lofa!!Mzuqa,
Yani binadamu hapana.
Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
View attachment 937735
Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
View attachment 937736View attachment 937737
Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.
Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.
narumuk
Mkuu kama hilo gari halina sifa hizi basi kila aliyelinunua ni fala hasa.Mzuqa,
Yani binadamu hapana.
Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
View attachment 937735
Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
View attachment 937736View attachment 937737
Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.
Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.
narumuk
Duh nimecheka sanaThis is too much mods ingilieni kati