Eti hili gari ni dola za kimarekani laki saba

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,177
13,589
Mzuqa,

Yani binadamu hapana.

Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
Porsche_Carrera_GT_(7190739038).jpg


Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
460732906_3-porsche-carrera-gt-5-7-v10-1-of-1-270.jpg
27181533.jpg


Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.

Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.


narumuk
 
Mzuqa,

Yani binadamu hapana.

Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
View attachment 937735

Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
View attachment 937736View attachment 937737

Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.

Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.


narumuk
La kipuuzi kabisa ...bora hata escudo litakuwa na afadhali...
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom