eti 'HAKUNAGA'..

Wewe sikia hiyo inaitwa poetic licences ambayo msanii anaruhusiwa kutofata grammatical rules za lugha, so nxt tyme jipange kabla hujakosoa.
 
Inakera sana watu wanaojidai na kujiita waswahili wanaposhindwa kuandika kiswahili na wanachafuwa mazingira wanapoongea"ga". Sijui hizi "ga" "ga" zimetokea"ga" wapi?

WABENA NA WAHEHE HUWA WANAONGEZA "ga" KWENYE MANENO YA KISWAHILI, LABDA MWIMBAJI ANA ASILI YA HUKO.
 
wewe sikia hiyo inaitwa poetic licences ambayo msanii anaruhusiwa kutofata grammatical rules za lugha, so nxt tyme jipange kabla hujakosoa.

ahaa! Kumbe ni katika kunawirisha vina, kama ni hivyo inaruhusiwa ati!
 
Unajua tatizo asilimia kubwa wanochangia uzi huu au wanao onekana kukereka na nyimbo hizi kiukweli wamepitwa na wakati kwa maana ya umri umesogea sana.
Haya ni maneno ya msimu tu yanakuja yanapita, sanaa ni ubunifu na utundu wa kuvuta hadhira yako, na ndicho suma lee amefanya.
Pia mnapaswa kujua uandishi wa mashairi ni tofauti na kuandika maelezo, habari au barua.
Pia najua hili litawatatiza wengi kina kitu ina swaga wenyewe wanajua.
Sikilizeni nyimbo kama mikasi ya ngwea, ule wa langa nk ndio mtajua sumalee kaimba bonge la nyimbo
 
Kwa jinsi nijuavyo mie, utunzi wa nyimbo ni sanaa. Na ukitaka kujua vema kwamba hakuna makosa kisanaa katika nyimbo hiyo soma vizuri nini maana ya Sanaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom