gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
kuna watu wambea! Kujfungua ajab?
Mdogo huyo mpya wa Ridhiwani ndiyo aweza kuwa wa ajabu...si kujifungua kwa mama yake.. Maana atakua,itabidi asome vidudu,hujui shule gani,atakuja kuwa mtoto wa rais mstaafu,maisha yake yaweza kutuathiri..
Atakuwa anaishi kwa kodi yetu ...
Maisha yake yakiwa ya juu zaidi,watu watakuja na kulalamika.. Akiwa kiongozi wa chama(hata kama si CCM),wananchi watamsemasema kuwa ni kutokana na figure ya baba yake kisiasa hapa nchini..