Mimi niko CHADEMA toka wakati wa marehemu B.MakaniMkuu na wewe unatumia uongo kujenga hoja? Mbona tangu mwanzo wewe umeonesha chuki kwa Slaa na Chadema? Unakumbuka post yako ya 2nd September 2011 11:14 iliyokuwa na harufu ya udini
Na hii ya 26th July 2012 13:51
Lini ulijiunga na Chadema mpaka unatwambia leo unaichana kadi ya CDM?
Imani yako na itikadi yako vinakuruhusu kutumia uongo?
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu!
Wewe sio mfuatiliaji, watu wanahama kwa wingi huko tena kimyakimya ndioKuichana kadi yako sio tatizo tatizo ni impact uliyonayo kwa chama, wewe kuondoka chadema nikama kuondoa ndoo moja
ya maji bahari ya hindi, wakati mto ruaha, wami na mingine inaingiza mamilioni ya lita bahari ya hindi. waonaingia cdm ni maradufu
ya vilaza wachache (insignificant) wachumia tumbo wanaotoka.
Kama wanavyofanya Jusa na maalim huko zanzibar?
Nakama nimuungano wa Vyama viwili yaan CCM na CUF then kunamakosa kusema CCM = chama A na CUF ni chama B
Tupe mkataba au makubaliano ya muungano wa CDM na CCM kama ilivyo kwa CUF na ccm hapo juu?
Nipo mkuu, hakuna bosi wangu katika hao woteMkuu simuoni Vijisenti kuendeleza majungu
yake sijuwi kaenda kuanzisha uzi mwingine kama bosi wake Nape?
Wewe sio mfuatiliaji, watu wanahama kwa wingi huko tena kimyakimya ndio
maana hufahamu. Hakufai ni bora kuhama watu gani wanagawana vyeo kifamilia?
Mabadiliko tunayataka sana lakini si kupitia kwa wanafiki ambao wako Mahususi kwa kugawana vyeo kifamilia huku upande mwingine wakiwa ni wanachama HAI wa CCM - Tumechoka na hapo ndipo pa kuanzia mabadiliko. Mimi leo naichana kadi yangu ya CHADEMA.
Nipo mkuu, hakuna bosi wangu katika hao wote
kwa sasa tuna mpango wa kuanzisha chama
ambacho kitakuwa cha upinzani wa kweli na sio
unafiki.
Mabadiliko tunayataka sana lakini si kupitia kwa wanafiki ambao wako Mahususi kwa kugawana vyeo kifamilia huku upande mwingine wakiwa ni wanachama HAI wa CCM - Tumechoka na hapo ndipo pa kuanzia mabadiliko. Mimi leo naichana kadi yangu ya CHADEMA.
Cdm siku zote wanafki, wazandiki,wafitini na waongo. na kwa bahati mbaya the cry at last!
Mimi niko CHADEMA toka wakati wa marehemu B.Makani
Hizo Comment zinatokana na Baadhi ya Comment ambazo zinatulazimisha kujibu
ovyo, hata hivyo kadi nilikuwa nayo na Leo ndo nimeamua kuichana.
Nimepitia posts zako zote, wewe ni CUF tangu mwanzo. Na CUF badala ya kuona tatizo ni chama tawala mnadhani CDM ndio tatizo.Mimi niko CHADEMA toka wakati wa marehemu B.Makani
Hizo Comment zinatokana na Baadhi ya Comment ambazo zinatulazimisha kujibu
ovyo, hata hivyo kadi nilikuwa nayo na Leo ndo nimeamua kuichana.
Wewe sio mfuatiliaji, watu wanahama kwa wingi huko tena kimyakimya ndio
maana hufahamu. Hakufai ni bora kuhama watu gani wanagawana vyeo kifamilia?
Hata majibu ya kumwabudu yesu badala ya mungu yanatokana na uwepo wako kidini zaidi, sio ya siasa kwa maana ya
kuwaletea watanzania utawala bora kwa maana ya maendeleo. wewe upo kueneza dini CCM CUF, CDM, NCCR Nk wapi na wapi
mbona unajichanganya mkuu Visenti?
Kwa sasa ndio nimehamia CUF, nimegundua CDM kwa kushirikianaNimepitia posts zako zote, wewe ni CUF tangu mwanzo. Na CUF badala ya kuona tatizo ni chama tawala mnadhani CDM ndio tatizo.
Pole mkuu watu wana akili.
Na hii thread uliyoanzisha tarehe 15th July 2012 16:45?Mimi niko CHADEMA toka wakati wa marehemu B.Makani
Hizo Comment zinatokana na Baadhi ya Comment ambazo zinatulazimisha kujibu
ovyo, hata hivyo kadi nilikuwa nayo na Leo ndo nimeamua kuichana.
Bado ni chama cha upinzani lakini matatizo iliyosababisha ni ya hatari sana, Hili linajidhihirisha baada ya kuwa chama kikuu cha upinzani. MIgomo isiyo na msingi imeongezeka, mfumuko wa bei umekuwa mkubwa mno, utendeji maofisini umekuwa mbovu (Taarifa za kiinterejensia) kwa sababu yao.
Jamani, angalieni wakati chama kikuu cha upinzani kikiwa CUF, mmewahi kusikia migomo hatari ya madaktari kama hii inayojitokeza leo. Hawa watu ni hatari hata ukiangalia post zao humu jukwaani ni matusi na utumbo tu badala ya kujenga hoja zenye akili, Tumewchoka 2015 hamtupati kwa sera zenu za matusi.
Watanzania tutafakari na tuwaepuke hawa watu!
Kwa sasa ndio nimehamia CUF, nimegundua CDM kwa kushirikiana
na waandishi wa habari(Kupitia kwa wamiliki ambao wengi ni CCM)
ndio wamechangia kuiangusha CUF kwa hila.
Mimi niko CHADEMA toka wakati wa marehemu B.Makani. Hizo Comment zinatokana na Baadhi ya Comment ambazo zinatulazimisha kujibu ovyo, hata hivyo kadi nilikuwa nayo na Leo ndo nimeamua kuichana.
Nafikiri hapo kwenye RED ndio mipango ya CHADEMA ikiingia madarakani.
Hawa ndio CHADEMA na wakipata utawala itakuwa ni zaidi ya haya, hebu waislamu jioneeni wenyewe.
Ingekuwa post hii inaiponda CHADEMA bila shaka ungeona matusi ya nguoni yakiporomoshwa. Bahati CUF ina viongozi na wanachama waungwana musitegemee matusi kutoka kwa wafurukutwa, wakereketwa, mashabiki na wanachama wa CUF ni watu wastarabu sana, hii ni dalili kuwa nchi ikichukuliwa na CUF itaendeshwa kistaarabu, Ole wettu kama CDM watachukua nchi itakuwa ni Full matusi kuanzia maofisini mpaka majukwaani.
Ni watu wa ajabu sana hawa, kila siku walikuwa wanapiga
kelele Bungeni CCM B - kumbe wenyewe ni CCM A, yaani viongozi
wao kadi wanazo na wanazilipia bila kusahau kuwa wanahudhuria
Mikutano ya Chama inayofanyika usiku.
Tumewajua, watanzania musiwaamini hao ni CCM halisi.
Usikurupuke mkuu, tafuta hiyo POST utajua kuna mtu aliongea utumbo
nami ndio nikamjibu hivyo, tatizo umechukua jibu bila kuangalia nini kilisababisha
hilo jibu, mara nyingi mimi huwa ninajibu tu sianzishi.