Risa
Senior Member
- Feb 10, 2012
- 177
- 32
Toka hapa, ni nani huyo hatakuwa mfuasi wako katika hicho chama chako ambacho inaonekana kitakuwa na mitazamo hasi, si bora kukaa CCM tu? kulikuo kukufuata wewe mnafiki mkubwa. Umenikera na kama ungekuwa karibu yangu. Ningekutandika kofi labda hasira ningepunguza hasira kidogo. Shame on you.
Nipo mkuu, hakuna bosi wangu katika hao wote
kwa sasa tuna mpango wa kuanzisha chama
ambacho kitakuwa cha upinzani wa kweli na sio
unafiki.