Eti CCM 'B' Kumbe wenyewe ni CCM 'A'

Eti CCM 'B' Kumbe wenyewe ni CCM 'A'

Minazani kue na option yakumblock mtu anaepost matango pori maana naona kunawatu wanashindwa kuutumia ipasavyo uhuru wao wakuongea!.. wanakalia kuubiri udini na uchochezi..vitu ambavyo havina tija..minazani wote humu tunaakiri timamu( it's a home for great thinkers) tusitishane na siasa za maji taka... Km hadi Leo na uzee wako haujui chama kinachokidhi au kukalibia kutii demand zako jua ww ni MBULULAA!!.. Dini pake ni nyumba za ibada na siasa kwake ni kwny vyama!.. Usitukanganye (sijui vijicent hata ckumbuki jina lako) I can bet million haukuwai kua chadema!.. WeniCUF period!....
 
CCM mko madarakani sehemu yetu ya ziwa Malawi inanyemelewa ikichukuliwa na nyie muende huko huko. Wana JF mnanikera kweli kwani sioni tukielimishana kama ilivyokuwa mwanzo. Hatuwezi kuleta mabadiliko hapa nchini kwa malumbano kama uzi huu ulivyo..Khaaa!

Mkuu nakubaliana nawewe 100%, lakini gari huendeshwa kwa mujibu wa jinsi lilivyo, tunahitaji kuwaelekeza watu wanaopotosha

kwa ushahidi ilikufikia malengo unayoyasema.

Uko sahihi lakini inatubidi kufanya hivi mkuu. Tanzania ni yetu sote kuacha watu kupotosha nikuicha tanzania kuangamia.
 
Ni watu wa ajabu sana hawa, kila siku walikuwa wanapiga kelele Bungeni CCM B - kumbe wenyewe ni CCM A, yaani viongozi wao kadi wanazo na wanazilipia bila kusahau kuwa wanahudhuria Mikutano ya Chama inayofanyika usiku.

Tumewajua, watanzania musiwaamini hao ni CCM halisi.
Mkuu mbona uongo hauruhusiwi na Mola wetu? Au ukishaingia kwenye itikadi unasahau imani na maadili?
 
Na hii hapa ya tarehe 19th October 2012 10:43

Na hii hapa ya 7th September 2012 18:02


Na hii ya 26th July 2012 13:46
Mkuu unaweza kuyafahamu yote hayo hata kama ulikuwa ndani ya CHADEMA
wako watu humo ndani ya Chama wanafahamu kwa hiyo siku akihama usijekushangaa
akieleza yote hayo. Mimi nilijua umakini wa CUF wakati niko ndani ya CHADEMA, Niliujua udhaifu wa CHADEMA wakati niko ndani ya chadema
 
Umehamia lini CUF na wewe ndo umetangaza kuchana kadi ya chadema sasa hivi?

Mkuu mtendee mungu na dini yako haki, maana mola wetu hapendezwi na uwongo siku ya kiama utaulizwa mkuu.
Nimehamia kwa moyo kabla ya kuchana kadi ya CHADEMA.
 
Mkuu mbona uongo hauruhusiwi
na Mola wetu? Au ukishaingia kwenye itikadi unasahau imani na maadili?
Kwa hiyo hili la kuwaita CCM B wenzenu uliliona ni la Ukweli?
Hebu funguka mkuu toa na ushahidi hapa.
 
Kwa hiyo hili la kuwaita CCM B wenzenu uliliona ni la Ukweli?
Hebu funguka mkuu toa na ushahidi hapa.

Imeundwa Kwa Muungano wa Vyama viwili CUF na CCM, hapo hakuna A wa B
CHADEMA si chama cha upinzani ni tawi tu la CCM ambalo liliundwa kwa lengo
la kuidhoofisha CUF.

Masharti ya uanachama yanategemea, kama umetumwa kwa kazi maalum ya kuharibu
akili za watanzania unabaki kuwa mwanachama hai wa CCM.

Mkuu unataka ushahidi gani na wewe umekiri kwamba serikali ya mapinduzi ya zanzibar ni muungano wa vyama vya ccm na cuf.

Suala la mtu kusema CCM ni chama A na CUF ni chama B ni alternative ya kuwakilisha vitu viwili tofauti.
 
Kwa hiyo hili la kuwaita CCM B wenzenu uliliona ni la Ukweli? Hebu funguka mkuu toa na ushahidi hapa.
Mimi sijawahi kuongelea siasa za CUF hata siku moja. wanaoongelea hayo kajibizane nao huko wanakoyasema..

Uongo wako upo katika kujidai eti leo ndo umehama CDM wakati kauli zako za siku zote ni cuf.
 
Lakini nyie si mumeolewa! Nape amesema mtu yeyote anayemiliki kadi ya ccm akihamia chama cha upinzani uanachama wake unakufa.

Hapo mchezewa mchezo na ccm.Slaa anakazi maalum.


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Magamba watatumia mbinu zote ila wananchi hali imekuwa mbaya kinoma na kwa hali ilivyo sioni wa kuwashawishi watu tena,hata mkijiita watumwa badala ya waheshimiwa,mtakiona cha moto tu 2015 na kwa kuwa hamuamini jiandaeni kulia sana
 
Khaaa!.
Hivi kuna unafiki zaidi ya huu gamba kujiita CHADEMA.
Mtakubali tu hata kimyakimya.
Ni ww pia ndy ulishiriki kwenye rada au ulipata mgao,samahani lakini!..
Mabadiliko tunayataka sana lakini si kupitia kwa wanafiki ambao
wako Mahususi kwa kugawana vyeo kifamilia huku upande mwingine
wakiwa ni wanachama HAI wa CCM - Tumechoka na hapo ndipo pa
kuanzia mabadiliko. Mimi leo naichana kadi yangu ya CHADEMA.
 
Na kazi maalum imeshaonekana watu hawali wakashiba achilia mbali kulala ni slaa tu kila wakipata muda wa kuongea,maana anaangusha ngome zao wanabaki kuleta porojo tu.
Hapo mchezewa mchezo na ccm.Slaa anakazi maalum.


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Mabadiliko tunayataka sana lakini si kupitia kwa wanafiki ambao
wako Mahususi kwa kugawana vyeo kifamilia huku upande mwingine
wakiwa ni wanachama HAI wa CCM - Tumechoka na hapo ndipo pa
kuanzia mabadiliko. Mimi leo naichana kadi yangu ya CHADEMA.
Hili ndio tatizo kubwa la "watumwa wa ccm", wanajiona werevu hata katikan vitu ambavyo ni obvious. Huna unayeweza mshawishi kuwa wewe ni mpenda mageuzi au chadema! Fahamu tu tunajua wewe ni miongoni mwa ambao wako kwenye payrol ya MWENEZI , kwahiyo ni lazima useme chochote ku justify mshiko toka kwa brother N: Cha ajabu mnaridhika na vijisenti as your name, wakati wenzenu wanagawana madaraka kwa majina ya baba zao! Bosi wako anakutambua wewe tu, ukianguka leo na kurudi kwa mola, watoto wako hawatapewa chochote na huyo aliyekutuma. Ni heri leo ulijue hilo na uachane na kukata tawi ambalo umelikalia!
 
Siku zote unafki na umbea haudumu sasa aibu imewageukia.Shame on you Slaa

Mkuu wingu unaujua ukweli uko wapi ila unazuga tu, naamini unajua kabisa kama Dr Slaa angekuwa mamluki CCM isingekosa usingizi kwa ajili yake, ninaamini pia unafahamu ni kwa nini CCM haihangaiki na CUF wala NCCR.
 
Mabadiliko tunayataka sana lakini si kupitia kwa wanafiki ambao
wako Mahususi kwa kugawana vyeo kifamilia huku upande mwingine
wakiwa ni wanachama HAI wa CCM - Tumechoka na hapo ndipo pa
kuanzia mabadiliko. Mimi leo naichana kadi yangu ya CHADEMA.
Mkuu umesema unaichana kadi yako ya CHADEMA inamaana ulikuwa CCM halafu unaendelea kulipia ada kadi ya CHADEMA au? sijaelewa mkuu.
 
mabomu ya mchoz risac zà moto propaganda za udin na ukanda vyote vimeshindwa na nguvu ya UMMA SEMBUSE KAD!
 
Kwa sasa kuna CCM na matawi yake ambayo ni A - CHADEMA
B- TLP C-NCCR - D.......... N.K

Endelea kujidanganya Na nape wako. Ingekuwa hivyo kwamba chadema ni CCM A msingehangaika kama kuku anayetaka kutaga kila siku na kuhaha jinsi ya angalau kupunguza kasi ya Chadema.

Tunajua homa ya kumwogopa Dr Slaa Na Chadema iko juu Na inawatesa
 
Back
Top Bottom