Eti ananitishia ushirikina

Eti ananitishia ushirikina

Nyani Ngabu wamekufanya nini tena nephew....

niuzie kesi

Acha tu mpwa!

Ukiwa na akili ndogo halafu hujijui kuwa una akili ndogo ni majanga 2.0.

Lakini pia, kama una akili ndogo utajuaje kuwa akili zako ni ndogo?

Manake kujua kiwango cha akili ulicho nacho nayo yahitaji akili za kutosha.
 
SAUT nacho chuo unataja?? Ninao wa2 hapa ofisini vizembe vizembe , k ingine kidemu kihuni n mizinga balaa
 
JF inogile..
Kwanza walianza kumpiga mizinga siku ya kwanza tu....then akagundua ni mizigo kichwani weupe....sasa kali kuliko zote wanatishia kumroga awe zuzu asirudi hata kwenye box lake huko USA baby!!!

Nyani Ngabu hawa kuku wa kienyeji tuachie wenyewe tunawamudu....jioni anarudi bandani kwanini uhangaike kufukuzana nae au kumpiga manati?
 
Kwanza walianza kumpiga mizinga siku ya kwanza tu....then akagundua ni mizigo kichwani weupe....sasa kali kuliko zote wanatishia kumroga awe zuzu asirudi hata kwenye box lake huko USA baby!!!

Nyani Ngabu hawa kuku wa kienyeji tuachie wenyewe tunawamudu....jioni anarudi bandani kwanini uhangaike kufukuzana nae au kumpiga manati?

Hahahaaa kwa nini unadhani hizo dhahma ni zangu na si za wengine?
 
Kwanza walianza kumpiga mizinga siku ya kwanza tu....then akagundua ni mizigo kichwani weupe....sasa kali kuliko zote wanatishia kumroga awe zuzu asirudi hata kwenye box lake huko USA baby!!!

Nyani Ngabu hawa kuku wa kienyeji tuachie wenyewe tunawamudu....jioni anarudi bandani kwanini uhangaike kufukuzana nae au kumpiga manati?
Nimejikuta nacheka tu....
 
Kweli watu wenye akili ndogo ni mzigo.

Na kupata mwenza mwenye akili ya kutosha (kwani si lazima upate mwenye akili kubwa) ni kazi sana.

Kwa mfano, hivi videmu vya CBE bana vina mashauzi sana. Nadhani vipo hapo CBE kwa sababu kiakili havina uwezo wa kumudu sehemu kama UDSM au SAUT.

Hivi hapo CBE ni dampo la waliopata divisheni 4 na 5? Manake vidada vya hapo kwa kujifanya vya viwango tu havijambo.

Kiingereza havijui lakini vinapenda kujifanya vinajua. Sijui nani kavidanganya kuwa ukiongea Kiswahili na kuchomekea chomekea Kiingereza chako cha kuunga unga ndo utaonekana wa kileo, kwamba unaenda na wakati....umestaarabika.

Nyambaaf kabisa.

Vingine kweli ni vizuri vya maumbo na sura lakini akili za darasani na hata zile za kawaida tu za kidunia havina. Mjini hapa vinaishi kwa kutegemea zaidi wanaume, tena kwa kiasi kikubwa tu.

Vichwa vyao havina kazi zaidi ya kushonea minywele bandia. Bure kabisa yaani.

Sina takwimu wala nini lakini pia sina shaka kuwa vimdada kama hivyo vinaongoza kwa mambo ya ushirikina. Kuna kimoja hicho kimediriki hadi kunitishia kuwa eti niwe mwangalifu...nitarogwa na wadada nishindwe hata kujielewa.

Kimdada kama hicho hata ukijaribu kukieleza kuwa hayo ni mambo ya usasili tu, ya kufikirika tu, ni ya kiimani tu....hakiwezi kukuelewa kwa sababu hakana ubongo wa kuweza kuchakata hoja zilizo za kinadharia zaidi.

Na ndo maana havijui hata tofauti ya kujua na kusadiki au uhalisia na imani.

Yaani mimi huyu huyu nirogwe? Hahahaaa hivi vimdada bana....huko CBE naona vinafundishwa ujinga tu.

Umepigwa kibuti nn
Mapovu hayo si kawaida
 
Kwanza walianza kumpiga mizinga siku ya kwanza tu....then akagundua ni mizigo kichwani weupe....sasa kali kuliko zote wanatishia kumroga awe zuzu asirudi hata kwenye box lake huko USA baby!!!

Nyani Ngabu hawa kuku wa kienyeji tuachie wenyewe tunawamudu....jioni anarudi bandani kwanini uhangaike kufukuzana nae au kumpiga manati?

Hahah!, umenchekesha. Eti wampe limbwata mpaka asahau USA baby!

Ngabu is just Ngabu dear, he's so unpredictable.
Mizinga hapigiki.
Ma demu have to have a constructive conversation with him, wakichemsha he tells them off right there and then...

Asishangae sasa siku anaenda date na mdada anarushiwa hirizi halafu mdada anachomoka...lol!
 
Hahah!, umenchekesha. Eti wampe limbwata mpaka asahau USA baby!

Ngabu is just Ngabu dear, he's so unpredictable.
Mizinga hapigiki.
Ma demu have to have a constructive conversation with him, wakichemsha he tells them off right there and then...

Asishangae sasa siku anaenda date na mdada anarushiwa hirizi halafu mdada anachomoka...lol!

Wow....I'm über-impressed Kui.

You can be very perceptive.

I am so predictably unpredictable!

You are so right on the money on that one.

NB: I can't stand dumb chicks.
 
Back
Top Bottom