Ndio ivyo Ts over, makofi yameanza mapema hvyo ht ndoa bado. bora tu ajiondokee. Maana huko mbelen kutamshnda zaidi!!
Mmh!..acha umbea umejuaje huko mbele kutamshinda kwani wwe una undugu na sheikh yahaya mtabiri:what:
Apigwe tu! Kwann akudanganye?
Acha uwoga wewe kwanza sijui hata kwann umemuomba msamaha, swali la msingi hapo ni kwann akudanganye yupo nyumbani nawakati yupo baa na kwa maana hiyo sasa kuna uwezekano wa asilimia kubwa sana hata alivyokwambia kuwa huyo jamaa ni kaka yake ikawa ni uongo mkubwa sana
Dear pole.. sikusapoti kwa kumpiga hata kidogo . Ila huyo hakuwa wako ... If the guy was his brother why she lied at the first place that she was at home ? Try to stop to call her and get back with her ... Apologize for slapped her but not to get back with her .. Be patient and yours is on the way ... Okay.. Thanks..
My dear for I learnt from abuse people .. Once they started they will never quit. Take from my experience.. Never take lightly even if is one slap either from man or woman ..please .. Atakuzika or utamzika.. na kama sivyo hivyo basi Mmmoja wapo ataishia hospital kilema... Thanks...
Hilo kofi ni koffi anan au koffi olomide ??
...for i learnt from abuse people...
basi sawa!
Hata ningekua mimi,kwanza umemuumiza pili umemdhalilisha mbele ya umati.mh! ngoja waje wakushauri mi tu umenisikitisha kwa uamuzi ulouchukua kwa kweli