khusbakty
Member
- May 11, 2015
- 92
- 20
Kwanza unampiga mkeo? umemtolea mahari? mahusiano ya miezi mi3 unampiga yangekua miezi sita? au akitimiza mwaka na meno hana, Mwanamme anatakiwa awe muelewa ungemuuliza kwa hekma na upole ungejua yote lakini kwakipigo anajitambua huyo mwanamke ndio mana anaona naiwe basi, ivi mpaka leo kuna wanaume wanaopiga wanawake kweli?
Kaka kama mmeshindwana TABIA muache na huo mchezo kwanza amekufundisha nani au umeona wapi? huyo ni mtoto wawatu unampiga kofi na anakufia unafanyaje? tumia busara sana mara nyengine,sorry kama ntakua nimeongea sana.
hili ndio tatizo lenu kwanza jiulize kwanini kapigwa kofi pili kwa nini adanganye tatu kwa nini astuke.unahisi barua ni kitu muhimu saaana hebu fikiria ndani ya miezi mitatu angepata ujauzito akatoswa ungekumbuka barua? samahani kama nimekuboa ila nawewe mshkaji jaribu kua imara samahani yanini wakati yeye ndio wakwanza kutenda kosa aanze yy kuomba radhi nawe umalize