ragin
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,391
- 9,378
Alright
Eti "kofi moja tu", hivi mnaonaga ufahari kupiga wanawake eeh!! Huna adabu, bora kakuacha maana leo kofi moja kesho sita keshokutwa panga kabisa, wanaume wa hivi sio kabisa.