Eti "kofi moja tu", hivi mnaonaga ufahari kupiga wanawake eeh!! Huna adabu, bora kakuacha maana leo kofi moja kesho sita keshokutwa panga kabisa, wanaume wa hivi sio kabisa.
watu wote naona mnazungumzia kofi moja lakini hamzungumzii suala la binti kudanganya yupo nyumbani anapika
Mkuu nilitaka niseme hivi hivi. Hongera kwa kuiba point yangu...
Toka lini mdogo mtu na kaka mtu wakakaa bar !?
Ndio nimemkosea lakini si nimemuomba msamaha!
Mwanamke anapigwa na khanga uache ufala kunyanyua mkono ovyo waweza geukwa njiani ukachezea vitasa vya ajabu....pili mwanamke akiringa dawa niku tyupa kuree maana angekuwa kaka yake kwann adanganye yko home...!!!! janjaruka mkuu wanawake ni wengi kuliko wanaume...amna haja yakuomba msamaha.