Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,542
- 12,404
Hii taarifa hat kama imetoka kwa mkurugenzi mkuu mamlaka ya usafiri wa anga, bado mimi siiamini, maneno ya kusema "pailot alisema" hayawezi kukidhi. Nitaridhika ikiwa nitaona quote za maneno ya huyo pilot.
Hapa mjini jamani acheni tu, leo nilipita kijiwe fulani kule city centre kupiga kiwi niikasikia et ndege illikuwa na mzigo drugs na ndo maana mchezo huo ulichezwa, wadau is it possible?