Ethiopia: Waziri Mkuu Abiy Ahmed atangaza hali ya dharura nchini kote

NEWS UPDATE

Mnamo saa Tisa Alasiri ya leo saa za Afrika Mashariki,Wapiganaji wa Tigray wameukamata Mji mwingine Wa Fediah ulioko Kilometa 128 kutoka Mji Mkuu wa Addis Ababa. Mji huo ndio unapita barabara kuu ya Magari inayounganisha Nchi ya Ethiopia na Djibout.

Waasi wa TPLF wamesema wanaelekea Mji Mkuu wa Addis Ababa na wanasema Mji huo utakuwa chini ya udhibiti wa Majeshi yao ndani ya Mwezi Mmoja au wiki chache zijazo.

Source: Reuters.
Akimbie kama Ashraf Ghani wa Afghan
 
Abiy Ni mpuuzi Sana kawatoa jeshini Watigray kibao,kawatoa kwny kazi za serikalini Watigray,kulikua na wanajeshi wa Ethiopia waliokua Kule Darfur wakaitwa na serikali yao kurudi kwao Ethiopia wakakataa na waliotakiwa kurudi walikua Ni Watigray tu.Abiy Ali demand mpk yule boss wa WHO ambae ni mtigray apigwe chini UN ikakataa.

Mshenzi sana yule jamaa
Kumbe kajichimbia kaburi
 
Hakuna figisu yoyote kutoka kwa yoyote ni ukabila tu ndio unaowasumbua toka enzi hata waethiopia wakiwa nje ya nchi yao wanabaguana hata hawaoani. Ilianza Eritrea wakajitenga, sasa ni Tigray, Oromo nao mbioni, Ogaden wao wanajijua ni wasomali licha wako Ethiopia na Afar jimbo lingine nao wanataka kujitenga it is a divided nation.

Ni udikteta tu ndo ulikuwa unaleta utulivu na Melez Zinawi aliweza kwa njia iyo. Hata Misri isingekuwa ubabe na udikteta wa Hosni Mubarak na sasa Abdel Fattah taifa lingegawanyika zamani.

Sometimes 1naungaga mkono utawala wa Paul Biya Cameroon na Paul Kagame.
iki ninachofahamu kuhusu Ethiopia.. hii tabia kila tatizo kuwaangushia jumba bovu mabeberu sijui itatutoka lini!!.
 
Si kweli jamaa aliyeongelea bwawa yupo sahihi. Wazungu hawataki kabisa huku Africa uwe na kitu cha kukuendeleza labda kama wanafanya wao kama ilivyokuwa Zimbabwe na South Africa kwenye mashamba.
Ethiopia walipogoma kusitisha kujenga bwawa, nakumbuka Trump alisema kuwa Egypt wakalisambaratishe hilo bwawa. Nakumbuka pia Egypt na Sudan walifanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi. Naona Analysis ikaonyesha itakuwa vita kubwa ndipo wakaamua kutumia njia hii ya kuwatumia wasaliti / mapandikizi. Vifaa na wengi wa majeshi ya waasi wanatoka somewhere...

Hakuna sababu ya kuwazuia Ethiopia kujenga bwawa katika nchi yao kutumia maji kutoka nchini kwao.

Angalia hii!

hivi uwa mnapata faraja ya kuandika uwongo bila benefit yoyote?.
et trump aliwaaambia Misri wakasambalatishe bwawa!!.
 
Pumbaf kabisa ukabila,ukabila
Narudia Tena ukabila unawamaliza wale jamaa kudadadeq zao,ila Tigray ni kabila la watu wenye akili japo ni wachache tatizo ni pale vilaza wanapoona wanaonewa wanatamani nao wapewe nchi wakati hawana weredi wowote mwisho kurudishana nyuma tu,
Kubali kataa jamii yeyote iliyowekeza kwenye Elimu ndio huongoza makundi yote huo ndio ukweli mengine ni kujitutumua tu!
 
Waliosema wanajeshi wa jeshi la serikali kuu wamepigwa ni waasi wenyewe wa Tigray, Walichofanya waasi hapo ni propaganda tu na wewe umezimeza kama zilivyo. Kwenye vita yoyote lazima wanajeshi wafe lakini hiyo haina maana walizidiwa nguvu na waasi. Tigray hawana uchumi wala silaha nzuri kushinda serikali kilichotokea ni hesabu mbovu za Waziri mkuu kushindwa kutatua tatizo kabla halijawa kubwa.

Hesabu mbovu?
Hebu fafanua MKUU
 
Wakuu naomba kuuliza kidogo kwa yanayoendelea Ethiopia.
1. Hivi kimuundo huko Kati ya rais na waziri Mkuu nani ni mkubwa. Na je ,wanaingia madarakani kwa njia gani?
2. Kwanini yanayoendelea huko anayelaumiwa zaid ni waziri Mkuu na sio rais?.
3. Ikitokea hawa waasi wakauteka huo mji mkuu, serikali itakua imeangushwa vipi nafasi ya rais itabaki vipi?
 
Namuonea huruma abbiy Ahmed alianza vizuri ...uongozi Africa ni kitu kigumu Sana...na pia alikuwa ni mtu wa haki ukiwa mtu wa haki hauwezi kudumu mfano magufuli.ghadafi...wenye nguvu duniani hawataki kuona viongozi wapenda haki na wenye maono mazuri wanataka viongozi wababaishaji ukiwa mkweli na mpenda haki ..Kuna raisi alikuwa wa Zambia alikuwa anaitwa Michael sata naye hakudumu ..Kuna mawili la ufe kabla ya wakati au utapata misukosuko ya Vita ...pole Sana abbiy Ahmed nakushauri kimbia mapema maana yake kifo chako hakipo mbali ..kimbia usife kijana...ghadafi aliambiwa akapuuzia matokeo yake Yuko kwenye udongo Sasa hivi ....kimbia ikiwezekana hata kesho...
Wewe Hilo jina la magufuli hapo litoe
 
,Western "White piggs" they normally don't want to see any African country inapiga hatua kubwa za kimaendeleo
Swala la nishati ya umeme lilikuwa linaenda kuwa historia kutokana na ujenzi mkubwa unaoendelea wa bwawa la Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam).
Hii tabia ya kila shida zenu kuwatupia wazungu ni ya kindezi sana aisee, yaani nchi zote 53 za Africa hamuwezi kushughulikia shida zenu?? Mbona mkisikia kiongozi wenu kapinduliwa na jeshi mnakimbilia kuweka vikwazo??
 
Namuonea huruma abbiy Ahmed alianza vizuri ...uongozi Africa ni kitu kigumu Sana...na pia alikuwa ni mtu wa haki ukiwa mtu wa haki hauwezi kudumu mfano magufuli.ghadafi...wenye nguvu duniani hawataki kuona viongozi wapenda haki na wenye maono mazuri wanataka viongozi wababaishaji ukiwa mkweli na mpenda haki ..Kuna raisi alikuwa wa Zambia alikuwa anaitwa Michael sata naye hakudumu ..Kuna mawili la ufe kabla ya wakati au utapata misukosuko ya Vita ...pole Sana abbiy Ahmed nakushauri kimbia mapema maana yake kifo chako hakipo mbali ..kimbia usife kijana...ghadafi aliambiwa akapuuzia matokeo yake Yuko kwenye udongo Sasa hivi ....kimbia ikiwezekana hata kesho...
Mswahili kwa visingizio Vipi kuhusu Nyerere naye aliuwawa au??
 
Si kila sehemu unaunga mkono...
Russia na Marekani lengo lao kuuza silaha kwa Ethiopia labda Mchina awasaidie
Russia ameokoa nchi nyingi sana kama Iran na Syria... nchi ambazo mabeberu walitaka kuwamaliza. Ethiopia na hasa huyo waziri mkuu, wameponzwa na hilo bwawa. Mabeberu hawataki Africa wawe na umeme wa uhakika
 
Back
Top Bottom