HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,546
Akimbie kama Ashraf Ghani wa AfghanNEWS UPDATE
Mnamo saa Tisa Alasiri ya leo saa za Afrika Mashariki,Wapiganaji wa Tigray wameukamata Mji mwingine Wa Fediah ulioko Kilometa 128 kutoka Mji Mkuu wa Addis Ababa. Mji huo ndio unapita barabara kuu ya Magari inayounganisha Nchi ya Ethiopia na Djibout.
Waasi wa TPLF wamesema wanaelekea Mji Mkuu wa Addis Ababa na wanasema Mji huo utakuwa chini ya udhibiti wa Majeshi yao ndani ya Mwezi Mmoja au wiki chache zijazo.
Source: Reuters.